Unafukuzia
mwanamke mzuri mnaanza kuzungumza. Mnachukua muda wa dakika 20 hadi 30
kuongea na yeye mara ya kwanza. Anapendeza na kuvutia, na unaona kama ni
mwanamke ambaye ni yule aliyekuwa ndotoni mwako maishani mwako.
Mazungumzo yenu yanaenda vizuri mpaka ukwamwomba namba yake.Baadaye
unajaribu kumtumia text na hazijibu. Labda mnaeza kuchat kwa madakika
halafu baada ya hapa anakataa kujibu...
Wednesday, November 30, 2016
Msaada jamani, Kwani ni lazima kumbebeleza mwanamke?
Published Under
Ushauri

Kuanzia utotoni na hadi maisha ya shule nimekua katika hali ya
kuyapeleka maswala yangu haraka haraka kadri ninavyotaka mimi. Katika
style hiyo ya maisha imenipa faida na maendeleo mazuri.
Lakini aina hiyo ya maisha sikuwahi kabisa kumshawishi mwanamke
tukaingia naye mahusiano. Nilijaribu kuwashawishi lakini walikataa
wengine waliniahidi ahadi hewa. Hali hiyo haikunishutua kabisa,
wasichana walionindaganya na kunikataa niliwapuuza na kuwaona ni wajinga
tu. Kwani mimi nilijiona ni mume mzuri wenye kila sifa.
Na zaidi ya yote nilipohisi hali ya kufanya mapenzi nilienda kununua
makahaba na kupiga masturbation. Kwa...
Nimetokea kumpenda sana hadi nashindwa kujicontrol
Published Under
Ushauri

Wadau,
Nina kadent kangu ka 1st yr chuo flani hivi, haka kabinti nina muda nako naeza kukadiria ka 3 yrs.
Ofcuz kenyewe ndio kalifall in-love kipindi hiko mimi nipo college
nilikua nakadharau. Sasa siku hizi kamekua M' SUPER ni kazuri kinyama.
Wakuu naeza sema kataniua kwa presha, mzee nimekuja kujikuta nina
malengo nako yale ya mbalii kichizi plus na kumpenda basi ni hatarii
tupu.
Somtimes naeza kukapigia simu nikakuta inatumika basi nitazila hapo,
nitafikiria na mimi kulipiza kisasi cha kumpigia mtu mwingine maana
najua katanicall back si nako kananipenda.
Wazee kataniuaa haka katoto nikienda nako na speed hii...
Mimi black na mke wangu black mtoto kazaliwa na nywele za kiarabu
Published Under
Ushauri

Nisaidieni wataalamu,
Hii ni siku ya tatu toka mtoto huyu azaliwe na nywele za kiarabu, leo
kaja mama mkwe wamemnyoa kabla ya siku saba, nipo kimya muda wote kwa
kuwa mke wangu ni mfanyakazi hawajaniomba chochote, mama yangu mzazi
kafika nimemchungulia dirishani naona anamkagua sana kwa siri vipi
hakuna.
DNA YA BEI RAHISI NIMALIZE FITINA.
...
Nioe yupi kati ya hawa? Nishaurini
Published Under
Ushauri

Bila shaka wazima.
Kijana wenu/mwenzenu nina tatizo moja sielewi nini cha kufanya
Nilikuwa na mpenzi wangu mmoja tulipendana sana na bado nampenda sana na
yeye namsifu anajua kuhandle penzi japo mapenzi yetu yameyumba kidogo
kwa sasa.
Matatizo kwa kipindi chote nilichokuwa nae kiukweli (on bed) hawezi
kumudu goli tatu katika tendo la ndoa, goli moja tu hataki tena na
nikifanya masihara naweza kumalizia na mkono (ny*to), siwezi kulaumu
kama tatizo ni yeye au mimi nakawia ku-pees, alafu kuna style
ninayoipenda ya kuchuma mboga ambayo niki apply hiyo angalau nawahi
kukojoa japo yeye haipendi anadai inamuumiza kizazi.
Navumilia...
Ukiona mwanaume ana vitabia hivi muepuke haraka sana
Published Under
Mahusiano

Habarini wapendwa,ukiona upo katika mahusiano na mwanaume mwenye vitabia
kama hivi,anapenda sana kujikweza,muda wote anakuhisihisi kuwa
unamsaliti kimbia ujue hiyo ndo tabia yake hivo anakuhisi na wewe,ana
vijimanenomaneno vya kike,ukikaa nae anapenda kujadili watu flani
kafanya hivi flani kafanya vile ujue sio,ukimkosea akikusamehe daily
anakumbushia kosa ulilofanya,anapenda muda mwingi muwe...
Tuesday, November 29, 2016
Changamoto ya kuoa msichana mrembo sana wa kuvutia au mwenye akili sana asiyevutia
Published Under
Ushauri

Wakuu sijui kama uzi huu umewahi kutolewa. Mara kadhaa naulizwa ushauri,
inapotokea kijana wa kiume anataka kuoa kati ya msichana mrembo mwenye
umbo la kuvutia sana, yaani ukitoka naye kila mwanaume atageuka
kumtizama kwa kumhusudu. Ukimwona kavaa vizuri lazima usisimke mwili.
Tatizo msichana mwenyewe kichwani ni mtupu sana. Mara nyingine anaongea
mambo au kuuliza maswali utafikiri hajasoma,...
Ananiambia bikira yake imeyeyuka!
Published Under
Ushauri


Salaam!
Habari wana kona ya utamu poleni na majukumu, mimi ni kijana ambae nimepanga kuoa
mapema mwakani ila leo mchumba wangu kanitumia ujumbe unaonivuruga
akili,
Kiukweli mimi na mchumba wangu hatujawahi kushiriki tendo la ndoa na
alinihakikishia kuwa yeye ni bikra lakini leo kanitumia ujumbe ana
wasiwasi kuwa bikra imetoka kutokana na kuhisi maumivu mara kwa mara na
kazi ngumu anazofanya,...
Masharti Ya Kumtext Mwanamke - Makosa 5 Unayoyafanya
Published Under
Mahusiano

Kila
siku mara moja au nyingine huwa tunawatext wanawake. Aidha wawe ni
wapenzi wetu, tunaowatongoza ama marafiki zetu. Na kila siku huwa
tunapatwa na changamoto mbalimbali kutokana na matangamano yetu. So huwa
kunakosekana nini? Ifuatayo ni orodha ya mambo 5 makuu ambayo wanaume
wengi hukosea wakati wanapomtext mwanamke, na jinsi ya kutatua.
Zama nasi... #1 kukata tamaa mapema kwa mwanamke
...
Hatua 10 za kumchagua Mchumba
Wengi
wamejikuta wakiitwa wahuni kutokana na kuwa na uhusiano wa kimapenzi na
makundi ya wanaume au wanawake. Hata hivyo wachunguzi wa masuala ya
mapenzi wanasema idadi kubwa ya wapenzi si kigezo sahihi cha kupima
tabia ya mtu na kumhusisha na uhuni.Watalaam
hao wanataja safari ya kupata chaguo halisi la mwanaume/mwanamke wa
maisha ndiyo inayowaponza wengi kiasi cha kujikuta wameingia katika...
Subscribe to:
Posts (Atom)