KONA YA UTAMU

KONA YA UTAMU

Breaking News
Loading...

Friday, February 17, 2017

Dalili Muhimu za Mwanamke Aliefika Kileleni Mkiwa Faragha..

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjxE7j-cIycNyO6c_anSbAgugP1lB4vhzXuzbgBIbaRPqguakCaxHzYoFb-uOW2Ps_ITf0GwchqEPG4CMFOF8ZDEjlseyyq0NTR3ECZX6lUySy2bnNmGChB75Xg-vxAKgXEaUpcu8lDg14/s1600/images.jpg
Wanaume wengi sana hua tunadanganywa na wenza wetu kua tumewaridhisha vya kutosha lakini ukweli hua hakuna kitu

Hua wanafanya kwa nia njema tu kwani wanaume hua tunajiskia amani sana kuambiwa umemfikisha mtoto wa kike kwani ni jambo la kishujaa kama trumph uchaguzi us

kwa uzoefu wangu,mwanamke aliefika kileleni hua anakua hivi bila hata kuuliza au kusubili kuambiwa

1.MWILI KUISHIWA NGUVU

mwanamke aliefika orgasm hua anaishiwa nguvu mwili baada ya safari ndefu ya mikito,ukiona baada ya sex msichana anauwezo wa kufanya kazi nzito nzito jua umefanya kazi butu sio mpaka uambiwe

2.KUPITIWA NA USINGIZI BAADA YA MECHI

ukiona ka beby kako kamepitiwa na usingiz gafla baada ya sex jua kaz imeenda sawia,ikumbukwe kufika orgasm ni mechanism inzito,

3.MUSCULAR CONTRACTION

mwanamke anaekalibia/ aliefika kileleni misuli hubana na kuachia ,hii ni kwa mwili mzima hadi kwenye vagina,hilitendo pia hufuatiwa na mwili kutoa jasho.
ukiona ivo ujue kazi zimeenda sawia

Wakuu huu ni uzoefu wangu niliopata nikiwa field,

Ukiona mpenz wako hajaonyesha izo dalili muhimu basi jua hakuna kitu

Kama unajua dalili zingine zile kuu na muhimu tiririka

Wazee Pigeni kazi tutokomeze fake orgasm tunazodanganywa na kupewa kiburi ili tutoe chapaa

Hatua 10 za kumchagua Mchumba

Image result for Hatua 10 za kumchagua Mchumba
Wengi wamejikuta wakiitwa wahuni kutokana na kuwa na uhusiano wa kimapenzi na makundi ya wanaume au wanawake. Hata hivyo wachunguzi wa masuala ya mapenzi wanasema idadi kubwa ya wapenzi si kigezo sahihi cha kupima tabia ya mtu na kumhusisha na uhuni.
Watalaam hao wanataja safari ya kupata chaguo halisi la mwanaume/mwanamke wa maisha ndiyo inayowaponza wengi kiasi cha kujikuta wameingia katika kashfa ya kuwa na uhusiano na dazeni ya wapenzi.
Wanasema msichana/mvulana anayeingia katika uwanja wa mapenzi kwa kuwa na hisia za kufanya ngono, hukosa umakini wa nani anafaa kuwa mpenzi wake kutokana na kukosa elimu ya uhusiano kutoka kwa wazazi wake.
Kwa mantiki hiyo, bila upembuzi wa kina, mtu asiye na elimu ya jinsi ya kumpata mpenzi wa kweli hujikuta ameangukia kwa mwanaume/mwanamke asiyemfaa, ambapo baadaye huamua kuachana na huyo na kwenda kwa mwingine kujaribu bahati tena ya kupata penzi la kweli.
Zinatajwa zawadi, hitaji la kusaidiwa kimaisha, mvuto wa kimahaba na mazoea kuwa ni vichocheo vinavyowaangusha wengi kwenye mapenzi na wasiowafaa.
Ukweli ni kwamba mtu aliyenaswa kwa ‘ujinga’, huwa hakatwi kiu ya penzi na mwanaume/mwanamke asiye chaguo sahihi la maisha yake. Hivyo hufikia maamuzi ya kujiingiza katika uhusiano mpya mara 2,3,4,5 na kujikuta wakiambulia wanaume/wanawake wale wale wasio sahihi kwake.
Mwanamnke mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Suzzy aliwahi kuniomba ushauri, akasema amechoka kuchezewa, maana kila mwanaume anayempata anakuwa si chaguo lake. Lakini kibaya zaidi kuachia ngazi au kutemwa huku akiwa tayari ameshafanya mapenzi na wanaume hao.
Nia ya swali lake ilikuwa ni kuniomba njia za kumtambua mwanaume mkweli bila kufanya naye mapenzi? Aliuliza hivyo huku akiwa na hoja kuwa wanaume wengi hawako tayari kuwa na uhusiano na msichana bila kufanya naye mapenzi na wakati huo huo huficha tabia zao chafu wakilenga kumnasa wamtakaye.
Binafsi nafahamu kuwa kuna wanawake/wanawake wengi ambao hujiingiza katika mapenzi kwa kutekwa na hadaa za mwili na kujikuta wanacheza mchezo wa kitoto wa pata potea.
Ni madhumuni ya somo hili kufundisha vigezo vya kumpata mwanaume/mwanamke halisi wa maisha, bila kufanya naye mapenzi. Njia hii ina faida kwa pande zote mbili yaani kwa mwanamke na mwanaume kwani kuacha au kuachwa bila kufanya mapenzi ni bora kuliko kuwa muonjaji, tabia ambayo huathiri kisaikolojia na ni hatari kwa afya.
Ifuatavyo ni njia ya kisaikolojia ambayo mwanamke anaweza kutumia kumpata mwanaume mwenye kumfaa bila kufanya naye mapenzi tena ni jibu sahihi la kuondokana na mchezo wa kubahatisha kwa wanaume wanaosaka wapenzi wa kweli na si taksi bubu ambazo mchana huweka namba za njano usiku nyeusi.
KWANZA- Ni ya mwanamke/mwanaume mwenyewe kujifahamu na kufahamu vigezo vya mpenzi anayemhitaji katika maisha yake. Ifahamike kuwa kila mwanaume ana wake na kila mwanamke anaye wake wa maisha pia. Hivyo asiyekufaa wewe anawafaa wengine, kinachotakiwa ni wewe kujitambua kwanza ili umtambue umtakaye.
Wanawake/wanaume wengi hawafahamu wanahitaji wapenzi wa aina gani, hivyo wanajikuta kama watu wanaoingia sokoni bila kujua wanataka kununua nini? Ndiyo maana wengi wameangukia kwa matapeli wa mapenzi, wakachezewe na kuumizwa moyo bure.
PILI- Ni kuketi chini na kuorodhesha vigezo stahili vya mwanaume/mwanamke unayemtaka. Baada ya hapo orodhesha tena kasoro za mwanaume/mwanamke unazoweza kuzivumilia na zile ambazo huwezi kuzivumilia kabisa. Hii inatokana na ukweli kwamba mwanadamu hajakamilika, ana upungufu wake.
TATU- Anza kumsaka kwa kutumia milango ya fahamu. Cha kufanya hapa ni kuruhusu macho yawaone wanaume/wanawake na kuwatathmini kwa maumbile yao ya nje na kisha kupata majibu kutoka moyoni juu ya kuvutia kwao ambako hutambulika kwa moyo kurithika na mwili kusisimka.
NNE - Kuanzisha safari ya kuchunguza tabia za nje na za ndani kivitendo. Hapa suala la ukaribu baina ya mwanaume na mwanamke linahitajika. Msingi unaotajwa hapa ni kujenga mazoea ya kawaida yasiyokuwa na masuala ya kimapenzi na ngono. Kutambuana, dini, viwango vya elimu, kabila na makundi ya marafiki ni mambo ya kuzingatia.
Katika uchunguzi huu mwanamke/mwanaume anayetafuta mpenzi hana budi kupitia na kumlinganisha huyo aliyempata na vigezo alivyojiwekea. Zoezi hili liendane na kuweka alama ya pata kila anapobaini kuwa mwanaume/mwanamke anayemchunguza amepata moja ya vigezo vyake. Lakini pia aweke alama ya kosa kwa kila kasoro anayoivumilia na ile asiyoivumilia.
TANO - Ajipe muda wa kutosha kati ya miezi sita na mwaka kumchunguza huyo mwanaume, kisha aketi chini na aanze kujumlisha alama za vigezo alivyovijiwekea na jinsi mwanaume huyo alivyopata au kukosa.
Ikibainika mwanaume aliyechaguliwa amepata zaidi ya nusu ya alama ya vigezo vilivyowekwa, basi ujue kuwa anafaa. Kuhusu alama chache alizikosa anaweza kusaidia kuzikamilisha polepole wakati wa maisha ya ndoa.
Lakini angalizo kubwa kabisa ni kwamba mwanaume/mwanamke akionekana kuanguka katika kasoro zisizoweza kuvumilia kwa zaidi ya alama tatu. Yaani kwa mfano ni mlevi, mwizi, muongo, mbishi na katika hizo kashindwa 3, huyu hafai, ni vema akawekwa kando kwani huwezi kubeba kero 3 kwa pamoja katika maisha.
SITA - Kusajili mapenzi yenye malengo yanayotekelezeka. Lazima baada ya kuchunguzana kwa kina wapenzi watengeneze muongozo wa mapenzi yao. Wasiwe kama wanyama, lazima mipango ya wapi wametoka walipo na wanapokwenda.
Hata hivyo watalaam wanasema lazima wapenzi wapime umakini wao kwa vitendo. Kama wamekubaliana kuoana, suala la mume kwenda kujitambulisha kwa wakwe na hatua ya kuiendea ndoa ionekane. Usiri usiwepo tena. Kila mmoja amuone mwenzake kama sehemu ya maisha yake na mara zote wasaidiane kwa ukaribu.
SABA - Ni vema ndugu wakashirikishwa ili kuwapa nafasi na wao ya kuamua kama mapenzi hayo ni budi yakaendelea au yakasitishwa. Ni ukweli ulio wazi kwamba licha ya wengi kupuuza maamuzi ya ndugu kwa madai ya kuwa hawana nafasi kwa wapenda nao, lakini uchunguzi unaonesha kuwa wapenzi wengi huacha kutokana na sumu za ndugu hasa pale wanapokuwa wameonesha kutounga mkono uhusiano wa wanaotaka kuoana
NANE - Hatua hii ni ya kuweza kuzungumzia ufanyaji mapenzi, hapa nina maana kama wapenzi wamejizuia kwa muda mrefu na wanahisi kuchoka wanaweza kujadiliana kuhusu hilo na kuamua ufanyaji huo wa mapenzi una lengo gani, kama ni kuburudisha miili basi suala la afya na uzazi salama litazamwe.
TISA - Kutimizwa kwa ahadi ya kuoana ni hatua ya tisa ambayo nayo si busara ikachukua muda mwingi kutekelezeka, kwani ucheleweshaji mwingi wa ndoa nao huvunja moyo na mara nyingine umewafanya wengi kutoaminiana.
KUMI - Kuamua kuwa mwili mmoja kwa kuvumilia na kuwa tayari kukabiliana na changamoto zote za maisha ukiwemo mkwamo na dhiki ambazo huchangia sana ndoa nyingi kuvunjika. Hapa pia ni wajibu wa wanandoa kuchukuliana udhaifu na kusaidia, kuwa tayari kujifunza na kujali zaidi upendo kuliko hisia za mwili ambazo wakati mwingine hudanganya na hivyo kumfanya mwanandoa asivutiwe na mwenzake.
Mwisho ni kwamba kanuni hizi huwafaa watu wazima mapenzi ya kitoto hayawezi kujenga misingi hii imara mara nyingi ni kudanganyana, kuharibiana maisha, kupeana mimba na maradhi

Thursday, February 16, 2017

Michirizi Inayoonekana Kwenye Miili ya Akina Dada Inaashiria Nini?


https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiUXm_9b_U2p0JeRuP6hR_gh5lAv01zVQyNh7P5SUTu0jZ_0pxJLZTTnlXCU2yifjML0HMDN4glUdPjOS6y5NRSTgehgZ9jtuIpnGb6lYyqAazUNHDg26yd3DV6BOyac6G6nWtKGyXfinY/s400/Stretch-lines-on-knees-and-behind-knees+%25281%2529.jpg
Hivi Ile michirizi inayoonekana kwa baadhi ya kinadada nyuma ya goti wakiwa wamevaa sketi fupi huwa ni ishara ya utamu wao kama Mwana FA alivyoimba  "Michirizi ya utamu nyuma ya goti mimi hoi na moyo hai sio toi "  au ugonjwa wa ngozi?


Hatua Za Kumgeuza Rafiki Yako Kuwa Mpenzi Wako

Kuna baadhi ya wanaume ambao wanajiskia kuwa na furaha wakiwa na marafiki zao wa kike ambao wanawapenda kisiri, lakini kama umechoshwa na kuboeka kuwa rafiki pekee na mwanamke unayempenda, basi huu ndio wakati mzuri wa kujeuza gemu yako kabisa. Barabara ya kumbadilisha rafiki yako hadi kuwa girlfriend wako inaweza kuwa ndefu, lakini mwishowe huwa na utamu wake. Halafu kama wewe ni mwoga, mpweke, ama bikra ambaye hajui lolote kuhusu jinsi ya kuwatongoza wanawake, basi usitie shaka. Huwa ni rahisi kutimiza hili. Na utaweza kujenga confidence yako na kujeuka mwanaume ambaye anaweza kujumuika na kutangamana na wengine kirahisi. Hii hapa ni njia nzuri zaidi za kukuwezesha kumvutia mwanamke wa ndoto yako na finally ajeuke zaidi ya rafiki yako. Hivi ndivyo unavyopaswa kufanya.

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiVJ98lmYmhyphenhyphenS2h_hASqIR16TMr503mBtZGCOrCIvqGPtdERpLivmiAPl3ut22CdV_q0uoWAwlrJNwxLwB_uNgDpEIZygXYLYQVSq0UnYl1JX0_G8YxCc2U0KmpLUUz5g4tWnqsIRrQyoY/s1600/ggggal.jpg

#1 Acha tabia ya kuwa Mr. Mzuri
Ijapokuwa ni vizuri kuwa mwanaume mzuri mara moja au nyingine, kuwa mzuri sana kiasi cha kuwa unaonekana kama unajipendekeza kwa mwanamke hakufai. Mwanzo ukiendelea kumuonyesha uzuri wako kila wakati utabakia kuwa rafiki yake milele. Kama hujawahi kugundua hili, wanawake wengi huwa wanapendezwa zaidi na wanaume ambao ni masharobaro ama ‘bad boys’. Hii ni kwa sababu masharobaro huwa wanaonyesha hulka ya kutojali ama kuwa na hulka ambazo huonyesha ubaya wao mara moja au nyingine – hii huwavutia wanawake sana. Wanawake hupenda wanaume ambao wanaonyesha confidence  – kitu ambacho mwanaume alpha huwa anamiliki. Well, wanaume ambao wanatawala na ambao wanaonyesha kucontrol katika kila hali huwa kikawaida wanakuwa na confidence wakati wote. So, kama utaanza kuiga na kuonekana kama mwanaume sharobaro, unaweza kujeuka na kuonekana na mvuto na nishati zaidi ambayo itakuweka juu katika mashindano kwa muda mfupi sana.

#2 Usimuandame kama kelbu
Kama unapenda kumfuata fuata mwanamke kama kelbu, basi ataudhika na wewe na mwishowe atakuacha katikati. Mbaya zaidi anaweza kuambia marafiki zake kuwa wewe ni fala usiyekuwa na kazi ya kufanya. Ama anaweza kukatiza urafiki wenu. So, njia nzuri ya kufanya kwa sasa ni kurelax na utulize gemu. Kwa njia nyingine ni kuwa, usimkimbize kufanya jambo lolote. Ukitaka kumfanya mwanamke awe interested na wewe  kiharaka ni kwa kuhakikisha ya kuwa unakuwa mtu asiyeeleweka, yaani leo uko na yeye, kesho uko busy hupatikani. Huku kutamfanya akumisi na kutaka kuspend muda wake mwingi na wewe.

#3 Usikubaliane na kila kitu
Kama utaendelea kufanya kila kitu ambacho mwanamke anakuambia ama kukubaliana na kila kitu anachotaka, basi ataanza kukuchukulia advantage kwa sababu atagundua kuwa amekuweka katika viganja vyake. Jithamini wewe mwenyewe zaidi kuanzia sasa na umuonyeshe kuwa haubabaikii ama kuomba atenshen kutoka kwake. Hii itamfanya kuanza kujishuku na itamfanya kutaka kujua kwa nini umekuwa tofauti. Baadaye, ataanza kukukimbilia ili abadilike.

#4 Isome na uielewe sanaa ya kutongoza
Katika dunia ya kudeti na kutongoza, hakuna kitu kinachofanya kazi vizuri zaidi kama kushawishi. Mwanzo, hakuna kitu ambacho kitatokea kati yako na rafiki yako kama hujui kushawishi. So, nenda ujifunze jinsi ya kutumia macho yako kumtongoza rafiki yako, mpe tabasamu, mfinyie jicho, na mhusishe katika gumzo ambalo litampa hamu ya kukukaribia. Fanya haya yote na utaona utofauti wa rafiki yako akianza kufall na wewe pole pole. Utajipata rafiki yako amejeuka kuwa mpenzi wako.

Maswali 40 Ya Kumuuliza Mwanamke Katika 'Date'


Ushawahi kutoka deti na mwanamke halafu ukafikia mahali katika chat yenu unaishiwa na maneno ya kuongea?

Ama umeagana na mwanamke mtoke deti siku ya pili halafu umekuwa ukikesha siku nzima ukiwaza ni maneno ama ni usemi gani utakaoongea siku ya pili wakati ambapo mtakutana?
Image result for date outings
Well, usiogope. Hapa umefika kwa zahanati ambayo itakutibu matatizo yako.

Hapa tumekuandalia maswali 40 ambayo utayatumia kumuuliza mwanamke na kuyafanya maongezi yenu yavutie na kumfanya mwanamke apendezeke na wewe hadi mwisho.

Well. Kabla ya kuorodhesha maswali haya kuna mambo ambayo unapaswa kufahamu:

  • Anza kwa kumsifia ama kumpendezea kwa mambo anayofanya mfano unaweza kumsifia vile alivyovalia, kazi yake, umbo lake nk.
  • Wakati utakapokuwa unamuuliza mwanamke haya maswali, hakikisha ya kuwa unatoa nafasi ya angalau sekunde 30 kabla ya kumuuliza swali la pili, yaani usimmiminie maswali yote wakati mmoja.
  • Hakikisha kuwa haulazimishi maswali yako, mwanamke akikataa kujibu swali lako jipe shughli kiasi kv unaweza kucheza na vidole vyako ama jambo jingine kabla kumuuliza swali lingine.
Baadhi ya mambo ambayo pia unapaswa kuzingatia katika rodha ya maswali haya ni kuwa:

Unapaswa kuyachanganya maswali yako. Maswali tuliyoyaorodesha hapa ni maswali yaliyowazi, yaani yanaweza kupanuliwa yakazua mada nyingine. Anza na maswali sahili kuangalia iwapo mwanamke unayezungumza naye anapenda kuongea au la. Pia muulize maswali yaliyo wazi ili kuongeza hoja yako.

Usimakinike na orodha ya haya maswali. Tumia maswali machache ambayo unayaona unaweza kuyatumia halafu ujeuza mada yako uanze kuongea maswala yako. Ukimakinika kutaka kutumia maswali haya yote basi unaweza kumfanya akuone hauvutii na anaweza kuboeka na wewe haraka sana.

Usihifadhi maswali haya. Hili ndilo jambo baya zaidi la kufanya. Ukikaa na deti wako huku ukirudia swali la kwanza hadi jingine unaweza kumfanya mwanamke aone kwamba unamfanyia mahojiano ya kazi. Unachohitajika ni kusoma baadhi ya maswali haya, yahifadhi kwa simu yako halafu yatumie wakati ambapo maongezi yako yanafifia.


Maswali yenyewe ni kama ya fuatayo...

1. Unaipenda hii sehemu?

2. Huwa unapenda kunywa kinywaji gani?

3. Mapochopocho unayoyapenda ni yapi?

4. Ushawahi kuja hii sehemu awali?

5. Siku yako ilikuwaje?

6. Unafanya kazi wapi?

7. Huwa unapenda nyimbo aina gani?

8. Unapenda salad aina gani?

9. Ni mkahawa gani unaoupenda zaidi?

10. Ni movie aina gani unapenda kuangalia zaidi?

11. Ni mambo gani unapenda kufanya baada ya kutoka kazini?

12. Unafanya mambo gani ili kujifurahisha?

13. Ulisomea wapi?

14. Sehemu gani unaipenda sana zaidi kwa likizo zako?

15. Ni kitu gani unapendekezea ili kuinjoy siku yako?

16. Je wewe ni mtu wa kufuga mnyama gani? Paka ama mbwa?

17. Kama ungetawala dunia, ungetaka kubadilisha kitu gani?

18. Mapenzi mazuri ni yapi kulingana na mtizamo wako?

19. Mzazi gani yuko karibu na wewe?

20. Ni kitu gani kinachokuboa kwa mwanaume?

21. Unapenda kuvalia kikazi ama kimtaa?

22. Unawachukuliaje wanawake ambao wanapenda maringo?

23. Hivi ni kweli kuwa wewe unakuwa mrembo hivi?

24. Je wewe ni mtu wa kusoma ama wapenda kucheza games?

25. Ni mtu gani katika maisha yako ambaye unampenda zaidi?

26. Unapenda mambo ya ghafla ghalfa ama mpangilio?

27. Ni nani huwa unaongea naye kama unapata changamoto katika mapenzi?

28. Je una kumbukumbu yeyote ya utotoni mwako ambayo inakufanya utabasamu unapoifikiria?

29. Ukisafiri katika hii dunia, ungetamani usikose nchi ngapi tano?

30. Ni kitu gani kinakufurahisha maishani mwako?

31. Je, wewe uko karibu na familia yako?

32. Ni kitu gani unachochukia zaidi kuona wakati unapokutana na deti wako mara ya kwanza?

33. Je wewe ni mtu wa kurauka mapema ama kuchelewa usiku zaidi?

Haya yafuatayo ni baadhi ya maswali ambayo unaweza kumuuliza deti wako iwapo ameingiliana na mazungumzo yako. Maswali haya yanaweza kuwa ya ucheshi, mengine yanaweza kuchangia kuongeza mazungumzo na baadhi yanaweza kubashiri vile ambavyo deti yako itakuwa mbeleni na huyu mwanamke.

34. Ni sehemu gani ya mwili wako huwa inatekerenyeka zaidi ikiguswa?

35. Ulikuwa miaka mingapi mara ya kwanza ulipohisi kupenda mtu flani?

36. Ni kitu gani kinachofanyika kawaida unapokuwa na marafiki zako wa kike mkiwa mnapokula bata?

 37. Kimtizamo wako, maana ya mahusiano ni nini?

38. Hivi, mahusiano yako ya awali yalichukua muda gani?

39. Deti yetu ya leo umeiona vipi kabla tumeet tena wakati mwingine?

40. Sahizi unafikiria nini?

SOMA: FAIDA YA KUNYONYWA UUME WAKATI WA TENDO LA NDOA

Pata mchumba, mpenzi! Click Hapa

Karibu sana msomaji wangu kila siku upate mbinu mbali mbali za kukuondolea aibu katika mahusiano yako. Ukijenga utamaduni wa kutembelea mtandao huu kila siku muda si mrefu unakuwa tajiri wa mahaba pamoja na kuwa na mahusiano thabiti sana. Kazi kwako!

Boss Ananitaka Kingono, Nipo Njia Panda

Image result for Boss Ananitaka Kingono
Katika harakati za kutafuta kazi nilibahatika kufika ofisi moja maeneo ya Mwenge (Dar es salaam) kwangu ilikua faraja kubwa sababu kiukweli nilikua nahangaika sana na hali ya ugumu wa maisha na sikutaka kabisa kuwa tegemezi kwa mtu yoyote (wakiwemo wazazi) niliamini kunipa elimu ni mtaji muhimu na tosha na lilikua jukumu langu kuandaa maisha yangu mwenyewe na kujitegema

Nilipofika pale niliomba kuonana na boss ila nikaambiwa haiwezekani labda ningekua na appointment, kutokana na uzoefu hii kauli nilikua nimekutana nayo mara kadhaa hivyo ilikua hainisumbui sana, nikamwambia yule receiptionist kuwa nilikua na appointment (kiukweli sikua nayo na nakiri nilidanganya na nilikosea ila sikuwa na namna mbadala) akaniuliza nimwambie we ni nani nikasema mwambie (tax consultant)

Waliongea mawili matatu then nikaruhusiwa kuingia nadiriki kusema shida ni mwalimu mkubwa sana kwani sikuwa na woga wowote kuonana na yeyote na kujinadi, baada ya mazungumzo na mahojiano ya kama dakika sita yule manager (mwanamke) akaniambia alhamisi niende nikafanye interview na kutokana na intro niliyoitoa hiyo siku (Jumanne).

Haikua kazi kwangu kupata hiyo kazi hata baada ya interview ya alhamisi, tulikubaliana terms za kazi na mshahara then nikapewa mkataba. Nilifurahi sana nikijua sasa mipango yangu itaenda vema (kwakweli mshahara ulikua mzuri tu) hadi nikaanza kupangilia biashara ndogondogo ili kuinua uchumi wangu.

Nilianza kazi wiki iliyofuata na wafanyakazi wenzangu walikua watu wema sana kwangu hivyo nilifanya kazi kwa furaha na ufanisi sana mpaka hali ilipokuja kubadilika.

MABADILIKO

Baada ya wiki moja mambo yalianza kubadilika pale ofisini, mara kwa mara boss alikua na vikao visivyokua na mbele wala nyuma na mimi na akawa mkali kwa wafanyakazi wenzangu especially wa kike na taratibu wakaanza kuniogopa.

Siku moja aliniita ofisini (ilikua Ijumaa) na akaniambia nifunge mlango nilishtuka sababu normally ukiingia ofisini lazima ufunge mlango cha kushangaza akaniambia ni-u lock nikafanya alivyotaka,

Hakuna cha maana alichoniambia zaidi ya story za kifamilia tu oooh mara mumewe (aliekuwa meneja kabla hajaumwa) anasumbuliwa na kisukari na presha na anapata taabu sana mi nikawa msikilizaji tu na aliongea muda mrefu hadi jua likazama na watu waliondoka ofisini alibaki mlinzi tu.

Aliongea mengi na mwisho akaniambia anataka nimsaidie (ngono) kitu ambacho kilinishtua kidogo ukizingatia ni mtu mzima rika la mamaangu, nilimbembeleza kuwa hapo si pahali salama ili tu aniache siku hiyo ili nikajipange jinsi ya kuepukana nae na kuikabili ile hali.

Alinikomalia sana hadi kunivamia physically na alionekana wazi alikua desperate for sex ila nilifanikiwa kumpanga na akanielewa baada ya hiyo siku ofisi nzima wakahisi nilizini na yule boss hivyo kukawa na minong'ono mingi na sikuwa na namna ya kuwaaminisha vinginevyo.

Tangu hapo ni wiki ya pili sasa huyu mama ananisumbua sana, ananiahidi mambo mengi kama nitakubali kusex nae na ni dhahiri nikimtamkia kuwa SITAKI nitapoteza kibarua kwani ye ndo meneja hapa na ndo anaajiri na kusitisha ajira,

Leo hii (Jmosi) kanipigia simu na kuniambia kesho saa saba ana kikao na mimi cha kikazi ila location naona hata aibu kuisema. Wakuu najua kuna watu humu wakike na kiume ambao wamekutana na hali kama yangu,

Naipenda kazi na sina pa kushikilia kwa sasa lakini pia sitaki kuisaliti imani yangu na msimamo kwa kupenda vitu vya dezo na kufanya uzinzi na mtu wa rika la mama yangu, ni dhambi kubwa na pia ni kinyume cha maadili ya jamii yetu lakini pia nikifikiria matokeo ya kuachishwa kazi (na mipango niliyokwisha iweka kichwani kwangu) roho inaniuma sana nabaki nikiwaza na kuwazua bila kujua haswaa nishike wapi.

Msimamo wangu ni kutokulala na huyu mama no matter the consequences ila naomba mnipe chakula cha akili ili akinifukuza kazi basi niwe nimeimarika kisaikolojia kwa ushauri wenu na nisitetereke sana kisaikolojia.

Asanteni

Wednesday, February 15, 2017

Ushauri kwa Mabinti wa Makamo Wenye Kiu na Ndoa.....

Leo nimeona nije hadharani hapa kutoa ushauri kwa mabinti wa makamo (30+yrs) ambao huenda kwa sababu za hapa na pale hawajafanikiwa kuingia kwenye ndoa wala kuwa na mahusiano yanayoashiria kuanzisha familia hivi karibuni.

Msingi wa mada yangu umetokana na mabinti kadhaa ninao kutana nao mara kwa mara maeneo mbali mbali kuwa na vilio karibu sawa.

Wakati nafanya kazi Taasisi fulani Dsm, kuna dada nilizoena nae kiasi cha kunisimulia baadhi ya mikasa ya kimahusiano na changamoto anazopitia.

Binti huyo mwenye miaka zaidi ya 30 alipitia magumu ikiwa ni pamoja na kutoa mimba kadhaa baada ya kutoona mwelekeo wa waliompachika, kuamua kugharamia mahusiano kwa kumuhudumia kila kitu mwanaume, kulazimika kubadili dini mara kadhaa kwa ajili ya mwanaume Ki uficho bila wazazi wala ndugu zake kujua.

Yote hayo aliyafanya ili kuwaridhisha wanaume angalau aitwe Mke wa fulani!! Lakini cha ajabu alikuwa anaambulia patupu

Si huyo tu, wako wengi wa namna hiyo na ambao wana visa tofauti tofauti lakini mwisho wake huishia kupata machungu na maumivu sababu ya mahusiano.

Ni kweli, ndoa ina heshima yake. Ndoa humfanya mtu aongezeke thamani katika jamii. Hilo halipingiki.

Pamoja na ukweli huo mtamu, lakini kuna ukweli mwingine ambao huenda watu hawaupendi kwamba sio wote wenye bahati ya kuwa na ndoa imara au hata hiyo ya kulega lega!! Wapo wengi wanamaisha yao mazuri na hawana hawaishi katika ndoa na wala hawajawahi kuolewa achilia mbali kutambulisha mchumba nyumbani.

Kuna mabinti wengi wanahangaika sana na wanateswa sana na mahusiano.

Unakuta Binti mzuri, mrembo, umri mkubwa tu wa kuweza kujiamlia mambo na nzuri zaidi Mungu kamjalia kazi nzuri na anauwezo wa kukabiliana na majukumu yanayohitaji pesa. Cha ajabu kutwa nzima anamaliza pesa zake kumgharamia mwanaume.

Binti huyo huyo akishika ujauzito akili hulalia upande wa kutoa eti kisa hajaolewa na anatamani sana aolewe kwani karibu rafiki zake na wadogo zake wameolewa tena kwa mbwe mbwe na michango ya harusi anatoa kila mwezi!!

Ushauri wangu ni mmoja tu, huna haja ya kuteseka wala kusononeka! Kama uwezo wa kulea unao!! Una kazi ya kukuingizia kipato, unauhakika mwanao hatokosa huduma za msingi kutoka kwako, acha kuteseka! Ruhusu moyo wako kukubali uhalisia kuwa si kila mwanamke ameandikiwa kupata watoto ndani ya ndoa. Watoto wana thamani kuliko hata hiyo ndoa unayo ng'ang'ania.

Nafahamu kuna haja za mwili za hapa na pale. Lakini ukishakuwa na maisha yako na unajitambua na kufahamu uhalisia wa maisha yako, hautashindwa kuzitimiza na kuendelea ku-control maadili ya nyumba yako!

Ni hayo tu wapwa zangu, wakuchukua achukue na wakupuuza hashikiwi fimbo!

Alamski!

SOMA: FAIDA YA KUNYONYWA UUME WAKATI WA TENDO LA NDOA

Pata mchumba, mpenzi! Click Hapa

Karibu sana msomaji wangu kila siku upate mbinu mbali mbali za kukuondolea aibu katika mahusiano yako. Ukijenga utamaduni wa kutembelea mtandao huu kila siku muda si mrefu unakuwa tajiri wa mahaba pamoja na kuwa na mahusiano thabiti sana. Kazi kwako!

Msaada: Nimeona wazazi wangu wakifanya mapenzi, je ni mkosi au laana?

Ndugu wana utamu kama mwezi uliopita nimenda kijijini kumsalimia baba na mama kwa bahati mbaya usiku mmoja hiv nilikuwa natoka nje kukojoa nilikuta mzee na bi mkubwa wakifanya yao sebuleni nikarud kimya kimya chumban kwangu wenyewe hawakuniona

Sasa mpk Leo Ile taswira inanisumbua sana nahis ni laana na mkosi sababu mambo yangu si mazur toka siku hiyo nimekuwa sijaelew kama chizi naomba msaada nifanyaje

SOMA: FAIDA YA KUNYONYWA UUME WAKATI WA TENDO LA NDOA

Pata mchumba, mpenzi! Click Hapa

Karibu sana msomaji wangu kila siku upate mbinu mbali mbali za kukuondolea aibu katika mahusiano yako. Ukijenga utamaduni wa kutembelea mtandao huu kila siku muda si mrefu unakuwa tajiri wa mahaba pamoja na kuwa na mahusiano thabiti sana. Kazi kwako!

Tuesday, February 14, 2017

JE,UKE WAKO UNATOA HARUFU MBAYA..? JINSI YA KUMALIZA TATIZO LAKO

Image result for harufu mbaya ukeni
Tatizo la uke kutoa harufu mbaya ni tatizo linalowasumbua wanawake wengi.


Wanaume wengi kila kukicha huwa wanalalamika kuwa inaboa na inakera kupeana Raha na Utamu na Mwanamke ambae sehemu zake za siri zinanuka. Inawatoa out of the mood, mwisho wake wanaconcetrate kudo fasta, wamalize hamu zao kila mtu aondoke.

Wapo baadhi ya wanawake wanajijua wanasumbuliwa na hili tatizo lakini cha kushangaza hawana muda wa kutafuta solutions za kumaliza tatizo lao (wanaishia kuchekwa kuwa vituko vya mtaa bila kujijua bcoz hawajui kuwa matatizo yao ya uke kutoa harufu mbaya,yanasimuliwa na wale wanaume ambao washawahi kulala nao wakiwa wanapiga story na marafiki zao maskani mtaani).

lakini wapo wanawake wachache wenye busara,ambao wanajijua wanasumbuliwa na hili tatizo na wangependa kujua sababu na jinsi ya kulimaliza,na hao ndio wamenifanya mie niandike hii post
Nitaanza kuelezea sababu kisha nitaelezea ni jinsi gani unaweza kumaliza tatizo lako.

Sababu zinazosababisha uke kutoa harufu mbaya ni kama zifuatazo,

1.BACTERIAL VAGINOSIS
Kwa mujibu wa madaktari bingwa,inasemekana kuwa hili ndio tatizo namba moja linalosababisha uke kutoa harufu mbaya.Inawezekana ukawa msafi mpaka mwisho lakini ukisumbuliwa na hili tatizo basi lazima uke wako utatoa harufu mbaya.

Kila uke una bacteria ambao wapo naturally kwa ajili ya afya njema ya uke wako,Lakini kama ikitokea hawa Bacteria wakazidi na kuwa wengi kupita kiasi ambacho uke wako unaweza kuhimili ndio hapo hiki kitendo kinaitwa Bacterial Vaginosis.

Sababu zinazosababisha Bacterial Vaginosis hazijulikani kwa usahihi lakini madaktari wanasema inaweza ikasababishwa na kitendo cha kupeana Raha na Utamu bila condom especially kama vitu vilivyoingia kwenye uke wako wakati wa kupeana Raha na Utamu vilikuwa vichafu(vitu kama vidole au mashine ya mwanaume,or may b dildo etc) au mara nyingine inatokea naturally bila sababu.

Ukitaka Kujua kuwa unasumbuliwa na Bacterial Vaginosis,utajikuta unapata Dalili zifuatazo;

  • Uke kutoa maji maji mazito au mepesi yenye rangi ya njano(yellow) au Brown yenye harufu mbaya
  • Maumivu kwenye maeneo ya kiuno au nyonga
  • Unaweza usipate au ukapata maumivu ya kichwa.
  • Uke wako unaweza ukawa unawashwa au usiwashwe (ur vagina might itch or not)


2. YEAST INFECTION
Hili Pia ni Tatizo,lipo kama la Bacterial Vaginosis.tofauti yake ni kuwa kwenye Bacterial Vaginosis waliokuwa wamezidi ni bacteria lakini huku wanaozidi ni fungus candida albicans. Ni wanawake wachache huwa wanapata Bacterial Vaginosis lakini wanawake wengi lazima wapate Yeast Infection japo mara moja katika maisha yao.

Mara nyingi Yeast Infection hutokea Naturally au inaweza kusababishwa na aina ya vyakula au vinywaji unavyokula au kunywa especially kama vimejaa yeast(vyakula vyote vinavyotengenezwa na hamira,pombe etc) Ukitaka kujua kama unasumbuliwa na Yeast Infection,utajikuta unapata Dalili zifuatazo;

Uke wako ukawa unawashwa au usiwashwe (ur vagina might itch or not) Maumivu kama uke unaungua pale unapokuwa unajisaidia haja ndogo (when u pee) Uke kutoa maji maji mazito yenye rangi nyeupe kama jibini(cottage cheese)


3. SEXUALLY TRANSMITTED DISEASES (STDs)
Kuna baadhi ya magonjwa yanayosababishwa na kupeana Raha na Utamu bila Condom,kama vile Chlamydia na Gonorrhea(kaswende na kisonono),kama ukiyapata huwa yanasababisha Uke kutoa Harufu mbaya kwa sababu dalili zake zinahusiana na kutokwa na maji maji yenye harufu mbaya.

4. VAGINAL OR CERVICAL CANCER
Unapokuwa una kansa ya uke au kansa ya mlango wa kizazi(cervical cancer),kutokwa na maji maji yenye harufu mbaya ni sehemu ya dalili zake.Unapojiona kuwa una tatizo la uke kutoa harufu mbaya,ni heri na itakuwa busara ukienda hospitali,kama ni kansa ya mlango wa kizazi itakuwa sio ngumu kuitibu kama ukiwahi mapema.

5. POOR HYGIENE
Inawezekana pia tatizo la uke wako kunuka linasababishwa na uchafu. May b unaoga mara moja tu kwa siku au siku nyingine hata hauogi. Hauna mazoea ya kufua nguo zako za ndani(underpants),na ikitokea siku umezifua basi hata hauzisugui zikawa safi.n.k

MAMBO UNAYOTAKIWA KUFANYA UKITAKA UKE WAKO USITOE HARUFU MBAYA

1. OSHA UKE WAKO KWA MAJI SAFI KILA UNAPOMALIZA KUJISAIDIA HAJA NDOGO(PEE)
Asilimia kubwa ya wanawake hawana mazoea na utaratibu huu.Ni utaratibu muhimu katika maisha ya kila siku ya mwanamke. Unapokuwa unajisaidia haja ndogo,most of the tym lazima utakuwa umechuchumaa/umechutama(umesquat),haja ndogo yako inapokuwa inatoka,lazima kutakuwa na mabaki kidogo kidogo yatakurukia na kubakia kwenye lips za nje au za ndani za uke wako(labia majora or minora).

Hayo mabaki baada ya muda yatachanganyika na jasho(sweat) na kutengeneza harufu mbaya,kwa hiyo ili kujiepusha na yote haya,ni heri ukaosha uke wako kwa maji safi kila ukimaliza kujisaidia haja ndogo.

2. UKIWA UNAOSHA SEHEMU ZAKO ZA SIRI,TUMIA MTINDO(STYLE) WA KUPELEKA MKONO KUTOKA MBELE KURUDI NYUMA
Kuna baadhi ya wanawake teyari wameshazoea kusafisha sehemu zao za siri kwa kupeleka mkono kutoka nyuma kuja mbele.Huu mtindo sio mzuri kiafya kwa kuwa huko nyuma kuna Tigo (anus), na kwenye Tigo kumejaa uchafu na bacteria wengi tu.Sasa wakati unajisafisha,unapopeleka mkono nyuma unakuwa kama unazoa bacteria na uchafu kutoka kwenye Tigo,halafu ukauleta mkono mbele unakuwa unawaacha hao bacteria na uchafu kwenye uke wako. Na huo ndio mwanzo wa uke wako kutoa harufu mbaya na kupata infections za ajabu ajabu.

Ukitaka kuwa salama,haijalishi kuwa umemaliza kujisaidia haja kubwa au ndogo,au wakati unaoga,ukitaka kusafisha sehemu zako za siri,tumia mtindo wa kupeleka mkono mbele kurudi nyuma ili usije kuwaleta bacteria na uchafu wa Tigo mbele.

3. VAA NGUO ZA NDANI ZENYE ASILI YA PAMBA(COTTON)
Pamba(cotton) ina uwezo wa kupitisha hewa hata kama ni kidogo sana. Na sehemu za siri za Mwanamke zinahitaji flow ya hewa inayopita,nyingine iwe inaingia na nyingine iwe inatoka.Hii flow ya hewa hata kama ni ndogo itasaidia kufanya sehemu zako za siri kuwa fresh muda wote na utapunguza uwezekano wa uke wako kutoa harufu mbaya.

Na pia punguza kuvaa nguo za kubana sana muda wote,nguo za kubana zinasababisha majasho sehemu za siri na ukizingatia hamna flow ya hewa kwenye sehemu zako za siri basi lazima hayo majasho yataanza kutoa harufu mbaya.

4. USIVAE NGUO YA NDANI MOJA SIKU NZIMA
Kwa jinsi maumbile ya Mwanamke yalivyo,unatakiwa kubadili nguo ya ndani mara mbili au tatu kwa siku.

May b ulivaa nguo ya ndani asubuhi,ikifika mchana,ingia ladies room(bafuni/chooni),Vua Nguo yako ya Ndani,kisha unaweza ukaoga mwili mzima(which is better) au ukasafisha sehemu zako za siri.Nguo ya ndani uliyovua unaweza ukaifua(which is better) au ukaikunjakunja na kuiweka ndani ya kipande cha khanga au kitenge ndio uweke kwenye handbag yako ili kama ikitokea ukaopen handbag yako in public,watu wataona khanga au kitenge,hawatojua ndani umeweka nini.

5. PUNGUZA KULA VYAKULA VYENYE SUKARI AU YEAST KWA WINGI
Unaweza ukapunguza uwezekano wa kupata Yeast Infection au Bacteral Vaginosis kwa kuacha au kupunguza kula vyakula vyote vyenye sukari au yeast kwa wingi.

Vyakula hivyo ni kama vile vyakula vyote vinavyotengenezwa na hamira,pombe/bia n.k
Ukizidisha Vyakula au vinywaji hivi,ina maana utakuwa unazidisha yeast mwilini,na wakizidi kwenye uke utapata yeast Infection,mwisho wake uke wako utaanza kutoa harufu mbaya.

6. BADILI PADS ZAKO MARA KWA MARA UNAPOKUWA KWENYE SIKU ZAKO
Ili kuzuia uke wako usitoe harufu mbaya kipindi ambacho upo kwenye siku zako,inashauriwa kubadili ur pad mara kwa mara(may b after each 4 or 6 or 8 hours,it will depend how many pads can u afford per day) Kubadili pads mara kwa mara kunasaidia ujisikie upo comfortable,inazuia bacteria kujikusanya,inasaidia kupunguza uwezekano wa kupata infection na mwisho inaondoa uwezekano wa uke wako kutoa harufu mbaya.

7. NYOA (SHAVE) NYWELE ZAKO ZA SEHEMU ZA SIRI MARA KWA MARA
Nywele zako za sehemu za siri zinapokuwa ndefu,unakuwa umetengeneza maficho(hiding place) ya kila aina ya uchafu kuanzia jasho,majimaji yatakayokuwa yanakutoka ukeni ukiget aroused,mabaki ya haja ndogo n.k Ili kuepusha yote haya ni heri ukawa unazikata nywele zako za sehemu za siri mara kwa mara.

8. NENDA HOSPITALI MAPEMA NA HARAKA TENA SANA
Yaani hata usichelewe,kwani haya matatizo especially Bacteral Vaginosis na Yeast Infection ni matatizo ambayo yanaweza kutibika kwa dawa.Ni heri uwahi mapema ili uongeze uwezekano wa kupona haraka bila matatizo.