KONA YA UTAMU: December 2016
Breaking News
Loading...

Saturday, December 10, 2016

Sifa 10 za Mtu Mwenye Penzi la Kweli Kwako....

Vijana wengi ambao wanapendana leo mapenzi yao hayadumu kiasi cha kubatizwa jina la utamu wa bazoka. Lakini yote hii inatokana na ukweli kwamba elimu ya mapenzi ambayo ni muhimu kwa binadamu haitolewi ipasavyo.

Ipo zana potofu kwamba kumfundisha mtoto mapenzi ni kumharibu, jambo ambalo si kweli bali inategemea mtoto huyo anafundishwa nini na kwa wakati gani. Lakini cha kushangaza zaidi hata watu wazima ambao ni wadau wa mapenzi hawayajui, matokeo yake wanajiingiza kwenye uhusiano wakiwa bumbumbu na hivyo kuteshwa na changamoto zinazowakabili.
Leo tutajifunza kwa undani sifa kumi za mpenzi bora ili tuweze kuwatambua wapenzi wetu kabla ya kuwapa mioyo na utu wetu. Sifa hizo ni hizi zifuatazo.

1.Mpenzi wa kweli ni yule ambaye hatangoja kujua nini unahitaji yaani hana sababu ya kusubiri kuombwa ndiyo atoe msaada.

2. Ni yule atakayejua wakati gani huna furaha au una furaha na atakuwa na wewe kwa hali zote mbili .

3. Ni yule atayekuwa tayari kukusikiliza kwa kile utakachosema, hatojali umeongea baya au zuri

4.Atakuwa na wewe wakati wa shida na raha. Hatakuwa mtu wa kuvizia vizia na kujisogeza wakati ukiwa na raha.

5. Mpenzi wa kweli atakuheshimu na hatopenda kuwa kikwazo cha maisha yako, atakulinda daima.

6. Atakupenda kwa moyo wake wote na wala si kwa ajili ya shinikizo fulani (pesa au mali)

7. Mpenzi wa kweli ni yule atakayeonyesha kuthamini nafasi yako kama rafiki au mpenzi mbele ya wengine, hafichi hisia zake mbele za watu, atakutetea na kukufanya wa kwanza.

8. Kwenye ukweli mpenzi mzuri atasema bila kukuficha na atapenda kukuonyesha mifano ya namna ya kuwa mkweli na mwaminifu.

9.Mpenzi wa kweli ni yule anayejiamini, asiyeyumba katika maamuzi hata kama atalazimika kufanya maamuzi magumu .

10.Atakuwa tayari kuvumilia, hatakuwa mwepesi wa hasira wala kutumia lugha chafu na ubabe.

Tuesday, December 6, 2016

NAMPENDA Mume Wangu Lakini Haniridhishi Tukiwa Faragha

Nampenda sana mume wangu lakini nimeboreka nae! in the bedroom ndio hata usiseme! yaani hata nikikaa mwezi hatujakutana siku ikitokea mechi najua kabisa anaanzia wapi atafanya nini, hayuko creative kabisa.

Najaribu kufanya changes try new positions ila yeye wala. Inaniboa! yaani I can only dream mechi za stori za sinema za x hahaha! ana mashine nzuri lakini utaalam ziro. mpaka nimenunua kitabu flani cha positions hakya nani.

Hayo yote sijawahi kucheat...ivi kuna unyago for men? nakiri kwa kweli niko shy kidogo kumpa somo, jinsi ya kuhandle mwanamke. nifanyej

Sunday, December 4, 2016

Jinsi Ya Kuzungumza Na Mwanamke Ili Umvutie

https://encrypted-tbn2.gstatic.com/images?q=tbn:ANd9GcThNM32QiyhJalDZgcfaurxKCCM0ZVsjlXH0sBCnGxsf2kKkLWC
Kama unatabia ya kushindwa ama kupata tatizo la kuongea na wanawake ambao wanakuvutia, basi ni wakati murua wa kwako kutafuta mbinu ambayo itakufanya wewe kuwa na ari na kutokuwa na wasiwasi wowote wakati ambapo unaongea nao.
Wakati mwingine, wanaume hujiskia ndivyo sivyo wakati wanapoongea na wanawake na mara nyingi wanapalia kutoongea na wao kabisa kwa sababu ya kujiskia ndivyo sivyo. Hii mwishowe inachangia kwa wao kutoweza kuwafahamu wanawake vizuri ama kushindwa kuwatoa date. Kama umechoshwa na jambo hili ambalo linakuandama siku nenda siku rudi, basi unahitaji njia rahisi ya kukuwezesha wewe kuzungumza na wanawake na kuyafanya maisha yako rahisi. Kama kumtoa mwanamke date sahizi ni jambo gumu kwako, basi unafaa kujua kuwa hilo halifai kuwa tatizo lako kamwe tena.

Hii hapa ndio njia rahisi ya kuongea na mwanamke ambayo itakusaidia kupata ujuzi kadri muda unaposongea.

1. Usijaze mazungumzo yenu na kwa kumsifu saana.
Kuna makumi ya wanaume katika nyanja hii ambao wanapenda sana kutumia maneno ya kumsifu mwanamke kama wameishiwa na maneno wakati wanapoongea na mwanamke. Wanaume wengine hufanya hivyo ili kudhihirisha kwa mwanamke kuwa wamevutiwa nao. Lakini makosa ni kuwa, kutumia maneno ya kumsifu mwanamke hayaongezi sana wala hayafanyi mengi kumsaidia mwanamke. Kwa hivyo, weka maneno ya kusifu kando, na uanze kuongea mambo mengine ambayo yatamvutia pia. Kama hutafanya lolote kando na kumwambia kuwa umemzimia kwa urembo wake au macho yake, utakuwa umejiweka level moja na wanaume wengine ambao wanatumia mitindo io kwa hio.
Kumbuka: wewe unawezekana kuwa si mwanaume wa kwanza ambaye umevutiwa naye. Mwanzo, kuna uwezekano mkubwa kuwa wanaume wote wanamuona yeye anavutia. Hii inamaanisha kuwa kumsifu wewe kwake haitakuwa jambo geni kwake.

2. Usijikite sana kuonyesha ya kuwa unamwona yeye anavutia
Kusistiza, ni kuwa haufai kuweka akili yako ijikite kuwa unamwona mwanamke unayeongea naye anavutia kupindukia. Ukijisahau tu ukianza kumfikiria vile ana urembo na kuvutia, utakuwa unajipa presha ambayo haitakuwa na manufaa yeyote kwa mazungumzo yenu. Kuna njia rahisi ya kuepuka jambo hili, ni kuwa unafaa kuidanganya akili yako kuwa huyo mwanamke unayeongea naye hana urembo wowote ule. Presha ikishuka katika mwili wako, utajiona umepata fursa rahisi ya kuweza kujieleza ukiwa pamoja na mwanamke yeyote yule.

3. Tafuta mambo ambayo munagawa kimaisha
Ok, haitakuwa jambo gumu vile mkianza kuongea mambo ambayo mnagawa ama intrest ambazo mnashare. Mwanzo kama mtaanza kuongea mambo ambayo mnagawa katika maisha, itakuwa ni njia rahisi ya wewe kuweza kupata namba yake ya simu ili kuweza kumshawishi kumtoa date.
Kumbuka: mwanamke akigundua kuwa mnashare intrest pamoja, hapo hapo atataka kuutumia muda wake zaidi mkiwa pamoja ili mpate kuzungumza intrest mnazoshare. Hivyo basi, fanya utafiti wa kina na ujaribu kuvumbua jinsi na njia utakayoitumia ili muweze kujumuika pamoja.

SOMA: Utamgunduaje mwanamke aliekwisha zaa mtoto wakati wa mechi??

Pata mchumba, mpenzi! Click Hapa

Karibu sana msomaji wangu kila siku upate mbinu mbali mbali za kukuondolea aibu katika mahusiano yako. Ukijenga utamaduni wa kutembelea mtandao huu kila siku muda si mrefu unakuwa tajiri wa mahaba pamoja na kuwa na mahusiano thabiti sana. Kazi kwako!
 
 

Saturday, December 3, 2016

Utamgunduaje mwanamke aliekwisha zaa mtoto wakati wa mechi??

Image result for mwanamke aliyejifunguaNatumaini hali ni njema kabisa asubuhi hii wapendwa.

Natamani kupata utundu namna ya kumtambua mwanamke aliekwisha zaa mtoto/watoto kwa kutumia kiungo chake cha uzazi yani papuchi.


Inaniwia ngumu sana kuwatambua hawa unaweza kumkuta dada mdogo tuu ana mwili simple kumbe keshazaa watoto kadhaa. Kikawaida mwanamke aliezaa tumbo lake hulegea na kuwa kubwa ila wadada wa sasa sijui wanafanyaje yani wanakuwa kama sio mama kabisa.

Nataman namna ya kugundua kwa kutumia kile kiduara chetu pendwa.

Kwa Nini Wanawake Wanapenda Wanaume Masharobaro aka Bad Boys


http://scontent.cdninstagram.com/t51.2885-15/s480x480/e35/13269538_108792916207153_1590634045_n.jpg?ig_cache_key=MTI1NjQzNzIyNzQ3NTA2NDczNA%3D%3D.2Wanawake kuchagua wanaume masharobaro aka badboys kuwaliko wanaume wa kawaida si jambo geni na hutokea mara kwa mara. -aidha katika vyuo, vilabuni, sinema, maktabani ama sehemu yeyote ile. Wanaume masharobaro, kama wanaume wengine, wao pia wanamaumbo ya kila aina, shepu na mvutio wa kijinsia. Kama wewe ni mwanamume wa kawaida ambaye humaliza wa mwisho ama ushawahi kupoteza mpenzi wako kwa sharobaro fulani, hapo chini kuna nadharia ambazo zitasaidia kueleza kwa nini  wanawake wanapenda sana kuvutiwa na wanaume masharobaro.

1. Hamu ya kufuata
Kufuata kitu ambacho unakipenda huwa kuna msisimko fulani mtu hupata. Lakini msisimko zaidi hutokea wakati ambapo mtu anajaribu kufuata mtu ambaye hataki kujulikana mienendo yake ya kimaisha, kufuatwa ama kueleweka kimaisha. Haya ndio maisha anayoishi mwanamume sharobaro. Wanawake wanapenda sana wanaume ambao hawaeleweki kimaisha (yaani hawatambuliki) ama kutaka kujua maisha yao. Na wewe kama mwanamume unataka kutumia huu udhaifu kwa manufaa yako, wakati mwingine unafaa kumfanya mwanamke abaki na maswali chungu nzima kutaka kukujua zaidi. Kama unampenda, jaribu kadri iwezavyo kutojaribu kumuonyesha.  Badala yake mpe pia yeye changa moto kwa kuweka ujanja wa kutoeleweka mara kwa mara. Hii ni njia moja murua ya kuhakikisha utaingia katika akili yake.

2. Kutaka kuwafunga fundo
Kitu kingine ambacho wanawake huvutiwa kwa sharobaro ni kutaka nafasi ya kuwafunga fundo ama kuwajeuza tabia zao. Mwanamke, amezaliwa naturally na hisia za uzazi, yaani kutaka kujeuza mtu mwenye tabia ovyo kuwa na tabia nzuri. Hii huibua hisia halizi za uzazi ndio maana kama mwanamume unapaswa wakati mwingine kumsumbua mwanamke hikisia, kimawazo na kadhalika. Unafaa kuwa mpinzani lakini usiwe mhalifu. Unafaa kuwa hatari lakini usipitishe kiwango ambacho kitamwogopesha. Kimtazamo, unafaa kumfanya mwanamke auonyeshe uke wake wote ili kujaribu kukubadilisha, mpe nafasi ajaribu kuubadilisha upande wako wa kiza na mwishowe kukufanya uwe mwanamume thabiti katika mchakato mzima.

3.Uanaume uliothabiti
Wanaume masharobaro (na si wale feki) karibu nyakati zote huwashinda wanaume wa kawaida kwa sababu ya mambo mawili makuu. Kwanza ni kuwa ni wanaume majasiri na pili wanaudhibiti uanaume wao kwa kuwa ngangari kimaisha. Kutoogopa kwao kwa jambo lolote ndiko kunawafanya wanawake kuvutiwa nao. Wanawake wengi wanavutiwa na wanaume ambao ni hatari, ngangari na wenye nguvu kwa sababu si rahisi kuchezewa au kufanyiwa masihara. Ukismama  kumtetea mwanamke kuhusu mahitaji yake na uovu, hii inamaana ya kuwa una uwezo wa kusimama kando yake na jambo lolote lile.  Kuweza kuonyesha level ya kuwa wewe ni mtu usiekuwa na woga wowote, unafaa kumwonyesha mwanamke wako kuwa una uwezo wa kuwa ngangari mahali popote pale ili mradi kumlinda yeye tu.

4. Uoga wa kujitwika majukumu
Wanaume masharobaro hupenda kuhepa majukumu yanayohusiana na mahusiano. Kwa wanawake ambao wana uoga huo huo wa kuwa na majukumu, masharobaro huwavutia sana na kuwaona kama hakuna wanaume wazuri kama hao. Kwa kuwa wanawake hawatajitweka majukumu, huwa hawana haja ya kujishughulisha na hisia za kipenzi ambazo ni stress. Pia ni habari njema kwa wanawake ambao wako tayari kwa uhusiano wa kimapenzi wa muda mfupi pekee. Lakini kama kawaida, mwisho wa siku lazima mwanamume sharobaro au mwanamke mtundu lazima kuna sehemu fulani ndani ya mawazo yake anatamani kuwa na mahusiano ya kudumu na pia kupendwa. Hivyo siri hapa ni kuipima miondoko yake na uangalie level yake ya kujitwika majukumu katika mapenzi halafu sasa uanze na hapo.


Upende usipende, wanaume masharobaro watakuwa na nafasi kubwa katika moyo wa mwanamke. Kuna kitu ndani yao ambacho kinawasababisha wanawake kuangua mwili mzima kihisia na kimapenzi kwao. Lakini hii haimaanishi kuwa lazima kila mwanamume ajeuke na kuwa sharobaro ili aweze kuwa na nafasi rahisi ya kutongoza mwanamke aliye kwa ndoto zako. Kile unachotakiwa kufanya ni kucheza mchezo mzima kiwastani. Daima unafaa kuwa vile ulivyo huku ukiingiza tabia flani za usharobaro hivi katika miondoko yako. Kama kuna kitu nzuri kati yenu wawili, basi pia kuna sehemu mbaya ambayo unaweza kuitumia ili ukajinufaisha nayo


SOMA: FAIDA YA KUNYONYWA UUME WAKATI WA TENDO LA NDOA

Pata mchumba, mpenzi! Click Hapa

Karibu sana msomaji wangu kila siku upate mbinu mbali mbali za kukuondolea aibu katika mahusiano yako. Ukijenga utamaduni wa kutembelea mtandao huu kila siku muda si mrefu unakuwa tajiri wa mahaba pamoja na kuwa na mahusiano thabiti sana. Kazi kwako!
 

FAIDA YA KUNYONYWA UUME WAKATI WA TENDO LA NDOA

http://thumbs-wbz-cdn.alljapanesepass.com/contents/15/thumbs/mtr-19-she042-japanese-mature-sex-action/thumb1/640x480/thumb1.jpgUtafiti uliofanywa na jopo la madakitari kutoka Hospitali ya Chuo  kikuu cha Hopkins (JHU) wakiongozwa na Dr. Carl Walker toka  Chuo Kikuu cha madakitari cha Yenepoya Medical College, Canada 🇨🇦, kimeeleza kuwa wanaume wanaonyonywa nyeti zao (uume) wana nafasi nzuri ya kupata watoto wenye afya njema na uwezo mkubwa wa kinga dhidi ya magonjwa (immune response capability).
 
Utafiti huu unabainisha pia kuwa, kitendo hicho cha mwanaume kunyonywa humfanya mwenye furaha zaidi, na hivyo uchamgamfu wake huzifanya pia mbegu kutoka /kumwagika zikiwa zimechangamka, hivyo kuwa na uwezekano mkubwa wa kupata mtoto mwenye akili na afya njema.

Zaidi ya hayo, utafiti huo umeeleza kuwa mbegu za mwanaume aliyenyonywa kabla au wakati wa tendo la ndoa pia ni kinga ya magonjwa kwa mwanamke anayekojolewa mbegu hizo ukeni, kwani huwa zina protein Za kutosha na hulainisha ngozi na kumfanya mwanamke awe na uso mwang'avu.
Utafiti huu unatokana na kuonekana wanawake wengi wanaotumia kondom au kutoruhusu kukojolewa ukeni kupata magonjwa zaidi ikiwemo fibrosis zaidi ya wanawake wenye kunyonya uume na kujiachia. Vilevile imebainika kuwa wanaume wenye kunyonywa wana nafasi kubwa ya kuendelea na urijali zaidi ya wale wasionyonywa!
 
 
Pata mchumba, mpenzi! Click Hapa

Karibu sana msomaji wangu kila siku upate mbinu mbali mbali za kukuondolea aibu katika mahusiano yako. Ukijenga utamaduni wa kutembelea mtandao huu kila siku muda si mrefu unakuwa tajiri wa mahaba pamoja na kuwa na mahusiano thabiti sana. Kazi kwako!
 
 

Aina kumi za waume ambao wake zao wanakereka kuwa nao

mwanamme.jpg

Aina Kumi Za Waume Ambao Wake Zao Wanakereka Kuwa Nao*


Kila ndoa inachangamoto zake na maana halisi ya ndoa ni ule uwezo wa wanandoa *kuvumiliana* katika changamoto hizo. Kuna changamoto za kimungu ambazo wanandoa hawawezi kuziepuka lakini kuna zile za kiuanadamu ambazo nyingi ni za kimakusudi na mtu huamua tu kuwa hivyo. Katika kuangalia ndoa leo nimeona *nichambue aina kumi za waume ambao wake zao wanakereka kuwa nao;*

*(1) Wanaojione Kama Wafalume (King Husband);* Hii ni aina ya wanaume ambao hutaka kusujudiwa kama wafalme na hupenda kuwafanya wake zao kuwa kama watumwa. Hawafanyi chochote ndani ya nyumba kazi yao ni kutumatuma hata kama mke anaumwa atapaswa kuamka na kupika, wanataka waheshimiwe wao tu na mwanamke akikosea kidogo ni maneno au kipigo. Mwanamke hana kauli ndani na mume akiingia nyumbani ni kama bosi anavyoingia ofisini, wote kimya hakuna hata kuongea.

*(2) Wanaume Wanaojihisi Bado Hawajaoa (Bachelor Husband);* Hii ni aina ya wanaume ambao hawawashirikishi wake zao kwa chochote. Hufanya mambo kama vile bado hawajaoa, hutumia muda wao mwingi na marafiki zao wakifanya mambo ambayo mke hata hayajui mke anaweza kustukizia tu mume kanunua gari bila kumshirikisha na mume haonyeshi hata kujali kuweza kumshirikisha. Hajali kama ana mke na mda mwingi huutumia akiwa na marafiki kufanya mambo yasiyo na msingi ambayo hayana mnanufaa yoyote katika ndoa yake.

* (3) Wanaume Wenye Gubu (Acidic Husband);*Hawa hukasirika kila mara tena bila kua na sababu ya msingi, mambo hayaishi, kosa la mwaka juzi anaweza kukukasirikia leo. Wamemuudhi kazini hataki kusemeshwa na mnanuniwa nyinyi, mwanamke akiomba hela ya chakula ni shida ni kununa kutwa nzima, wanahasira na nirahisi kumpiga mke.

*(4) Mume Wa Kila Mtu (Genarel Husband);* Hawa wanajifanya wasamaria wema, wanajali kila mwanamke, wanajali marafiki wakike wa mke na wakwao kuliko wanavyowajali wake zao. Mke anaweza kuwa na shida akasema hana hela lakini rafiki akampa. Wana marafiki wengi wakike na mara nyingi huwa hawaachani kabisa na ma X wao, wakiwalalamikia wanawasaidia kuliko hata wanavyowasidia wake zao wakati wakiwa na shida.

*(5) Wanaume Wanaojifanya Wagumu (Dry Husband);* Hawa wanajifanya wagumu sana, hawana yale mambo ya kimahaba na wao hujua kuwa ndoa ni kuleta chakula tu na kushughulika kitandani. Hakuna kuongea na hawajali hata hisia za mke, mke akiongea kwao wala hawajali wanajifanya ni vidume sana na wanaona mambo kama vizawadi, kupiga simu, kutuma sms, kusema nakupenda, kununua maua ni mambo ya kike, yaani hawaonyeshi juhudi yoyote kuwafurahisha wekea zao.

*(6) Wanaume Wanaopenda Kutumia Wake Zao (Panadol Husband);* Hawa huwa wanaume pale tu wanapokuwa na shida, wanakuwa na wake wazuri wanaowajali lakini wao wala hawajali. Wanapomhitaji mwanamke, wanapotaka mwanamke awafanyie kitu flani basi huja na maneno mazuri na hata kuleta vizawadi, wanajua udhaifu wa wake zao na huutumia kuwalaghai kuwatimizia mahitaji yao lakini wanapotimiziwa tu basi husahau hata kama wanawake, hawajali tena.

*(7) Wanaume Ambao Hawataki Kukua (Baby Husband);* Bado wanatabia za kitoto, hawawezi kufanya maamuzi yao wenyewe mpaka kuuliza kwa ndugu zao, mtu kaoa lakini kila siku humpigia simu Mama yake kuuliza hiki na kile. Yaani wakiongea kitu na mke nilazima aulize ndugu kwanza ndiyo kipitishwa na mke akifanya kosaa kidogo kazi nikulinganisha mke na ndugu zake, mbona flani alifanya hivi, flani anaweza fanya zaidi na mambo kama hayo. Kwakifupi hawawezi kufanya maamuzi na mkewe, ndugu zake hasa Mama yake anakuwa kama shemeu ya ndoa.

*(8) Mume Mtalii (Visiting Husband);* Hawa wanakuja nyumbani kama wageni vile, mume ataihudumia familia yake kwa kila kitu lakini hawezi kuipa muda wake. Akirudi mke na watoto wamelala ni kugonga na hana sababu za msingi za kuchelewa, hata mwisho wawiki hupenda kutumia na marafiki au ndugu lakini si na mke. Hakuna kitu cha pamoja ambacho anafanya na mkewe au watoto wake, kila akiingia tu anakua na safari ya kutoka yaani hata atoke akakae nnje tu lakini si kukaa na mke au watoto.

*(9) Wanaume Wanaofuatilia Kila Kitu (Stalking Husband);* Hii ni aina ya wanaume ambao hufuatilia kila kitu, huchunguza kila kitu mwanamke anachofanya na hawampi pumzi. Akienda sehemu atachunguza anaenda na nani na alikutana na nani, huwa na wivu wa ajabu ajabu na kila saa huhisi wake zao ni wasaliti. Kila mtu mwanamke anayeongea naye wa jinsia tofauti huhisi ni mchepuko na hata marafiki wa mke wakike pia huhisi wanamkuwadia, kwakifupi hampi pumzi mwanamke.


SOMA: Kufanya mapenzi ndotoni

*(10) Mwanaume Mbahili (Miserly Husband);* Huyu anaweza kuwa na hela lakini mbahili ajabu. Akimpa mwanamke hela atafuatilia matumizi yake mpaka senti ya mwisho, anafuatilia mpaka mambo ya jikoni. Sukari ikiisha naataka ajue iliisha ishaje na kila mara huhisi mke anamuibia hela labda akajenge kwao, huwa msumbufu sana na mgumu kutoa hela. Mwanamke akifikiria mchakato wa kuomba hela kwa mume hukata tamaa na wakati mwingine kuamua tu kukaa kimya na matatizo yake.

*Hiyo nji baadhi tu ya aina ya wanaume ambao wanawake wengi wasingependa kuwa nao. Kama mwanaume upo hivyo jua mke wako hafurahii na anavumilia tu. Ndoa ni furaha amua kubadilika na usimfanye mke wako kuishi na wewe kwa kujilazimisha. Kama ni mume jiulize uko namba ngapi hapo ?na kama ni mke mezea namba ya mumeo na jua hauko peke yako.*

Pata mchumba, mpenzi! Click Hapa

Karibu sana msomaji wangu kila siku upate mbinu mbali mbali za kukuondolea aibu katika mahusiano yako. Ukijenga utamaduni wa kutembelea mtandao huu kila siku muda si mrefu unakuwa tajiri wa mahaba pamoja na kuwa na mahusiano thabiti sana. Kazi kwako!

USHAURI-MKE WANGU ALIWEKWA KINYUMBA NA MJOMBA WAKE

Changamoto katika maisha ya ndoa.
Ni miaka minne sasa imepita katika ndoa na huu tunaufukuzia wa tano. Ninao watoto watatu wakiwa wawili wa kike na mmoja wa kiume.
Tabia ya Mke wangu ya ukali kupita kiasi kwa wtoto ilinifanya niwe na maswali mengi sana.

Hasira hii haiishii kwa hawa vijana pekee ikawa inaenda hadi kwa ndugu zake hasa mjomba wake ambaye ndiye amemlea baada ya mama yake mkubwa kumkabidhi huko akiwa mdogo.Nilivyoona hali hii ikanibidi nmuulize taratiiibu kabisa hasahasa juu ya chuki kwa mjomba maana huwenda hawa watoto anawafunza akawa anasita kusema.

Siku nyingine alipokuwa Tayari akaamua kuniambia kuwa miaka aliyokaa na mjomba wake akisoma shule ya msingi na sekondari, MJOMBA WAKE HUYO MSHIKA DINI alimuweka kinyumba.Yaani kaka wa marehemu mama yake akaamua kuwa anambaka bintiye.

Ni zamani sana kweli na imemtokea yeye ila imi iliniumiza sana kusikia hivyo maana sikutegemea kukutana na mkasa wa aina hii.
Ukatili huu umevuka viwango vya uvumilivu.

Mjomba bado yupo.
Anajinadi kuwa ndiye aliyemsomesha.
Anadai kutambulika kwa nafasi yake ya ujomba.

Ukiwa katika nafasi hii niliyo mimi nipe maoni yako ndugu.

Friday, December 2, 2016

Kufanya mapenzi ndotoni

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh8q96CFUt78EvlZs8zAavI4DuR5M_9gn5d5qGLKV98110G8bKgvWikBOKZtk_ZzJOQAqRwCNO4reNuoWyF8PQHTpVVP753CwXnk-qvhejEYbNTQWIVvpqwqefvQIpU3J1XeaSQx3NpajzK/s1600/Nightmare-2.jpg
Wana body habari za SAA hiz? Naomba kutoa elimu kwenu kwa muda huu, juu ya watu wenye hali ya kujikuta wanafanya mapenzi na wasio wajua au wanao wajua ndotoni...
Awali ya yote naanza na kukuelimisha wewe ni nani...kimsingi we we( mtu) roho yenye nafsi hai iliyopo ndani ya mwili....

Unapokuwa umelala usiku roho ya mtu huwa hailali.
Hivyo unapoanza kuota ndoto ya kufanya mapenzi na mtu kimsingi sio kama unaota Ila ni tendo original. Pia unapoamka unajikuta kweli umechafuka na manii .
Unapaswa kujua kuwa kuna viumbe ambao hawawezi kuonekana kwa macho hawa ni majini au mapepo ambayo huwaingilia watu kimwili na kufanya mapenzi ,pia majini hawa wanaweza kuvaa umbo na sura yyte ya mtu,mnyama au mdudu, na ndio maana kuna watu wanafanywa mapenzi na majini haya tena kinyume cha maumbile, na mashetani hawa na wanahangaika wamuone hata sura lkn hawafanikiwi, na wengine kufanywa mapenzi kawaida lkn huwezi kuona sura yake au unaweza kumuona kama ni mwanamke au mwanaume anaweza kuwa mwarabu,mhindi au mchina na mzungu lkn kimsingi ni shetani amevaa umbo la mtu, ndio hao majini mahaba.
Inaweza kufika point hata ukaolewa nalo.

DALILI
1.watu ambao wanamashetani ya uzinzi au majini mahaba,wengi huwa hawawezi kuolewa au kukaa na mchumba wake na wakazungumza mambo ya ndoa, kwani wakianza tuu....tayari yule jini au pepo mwenye ndoa na yy hawezi kukubali akijua anaibiwa, hapo utaona mtu anakasirika na hataki kuongea mambo ya kuoana.
2. Uchumba kuvunjika kila unapo chumbiwa au kuchumbia
3. Chuki dhidi ya wanaume/wanawake...unamkuta mtu anawachukia wanaume wa kimwili sana kumbe ni yule jini.
4. Kutoridhishwa kwa tendo la ndoa na mwenzi wako kwa kuwa umemzoea na kumfurahia sana yule mini, hivyo ukiona mchumba au mwenzako hafurahii ba wewe hata iwe
NB.Mashetani hawa wanaweza wakavaa mwili na kuja mwilini kabisa na kujifanya mtu kumbe ndani ni Shetani...kuna elimu ambayo wanadamu hawajaijua na kama wakiijua shetani hatakuwa na nafasi ya kuwatesa tena...


SOMA: Jinsi Mwanamke Anavyoweza Kuongeza Hips na Makalio bila kutumia madawa

** Mtu unavyo muona nje inaweza ikawa ni tofauti na ndani ,yaani roho ikawa nyingine.
Mfano ilitabiriwa kuwa Kabla ya Yesu kufa msalabani Nabii Eliya atakuja kwanza,
Mfano soma. Mathayo 17:1-13
Jini linaweza kuvaa mwili nje akawa binti mzuri sana au Handsome mzuri sana, lakini ndani ni kingine....( wadada mnaopenda ma handsome, na wakaka mnaopenda wadas warembo sana ...chungeni sana)
Dalili yao hawa wanapena mahusiano ya muda mrefu mfano miaka hats mitatu au mitano kwenye uchumba bila ndoa ya halali....kwao ni faida kuu..
**Lakini Mungu ni mwema anawapens sana wanadamu**
Majini hawa wanweza kushughulikiwa kwa jina la Yesu na mtu akawahuru....

KAMA NIKIHITAJIKA NITAKUJA TENA KUELEZA MADHARA YAO KTK MAISHA YA MWANADAMU.
 
Pata mchumba, mpenzi! Click Hapa

Karibu sana msomaji wangu kila siku upate mbinu mbali mbali za kukuondolea aibu katika mahusiano yako. Ukijenga utamaduni wa kutembelea mtandao huu kila siku muda si mrefu unakuwa tajiri wa mahaba pamoja na kuwa na mahusiano thabiti sana. Kazi kwako!

Jinsi Mwanamke Anavyoweza Kuongeza Hips na Makalio bila kutumia madawa

http://static.omgvoice.com/images/2016/08/01083840/thick-women-thigh-thighs-hips-1024x590.jpgBaadhi ya wasichana huwa hawaridhiki na maumbile yao ya asili, wengine hupenda kuwa wembamba hasa pale mtindo wa maisha au maumbile yao ya asili yanapowalazimisha kunenepa. Na wengine hupenda kunenepa au kunenepesha baadhi ya sehemu za miili yao kama vile makalio, mapaja (hips) au matiti. Wengine hupenda kuona matiti yao yakiendelea kusimama miaka yote ya maisha yao na kuwa kama ya wasichana wanaoanza kubalehe.

Kutokana na sababu hizi na sababu za kuongeza mvuto wao kwa wanaume au kujitangaza kibiashara, wasichana na wanawake wengine hulazimika kutumia njia mbadala za kunenepesha sehemu za miili yao. Wengi hutumia mavazi maalumu kwa kazi hiyo (pads and shape wear), dawa za kupaka au sindano za kunenepesha makalio, mapaja na kutunisha matiti na wengine hutumia njia za asili kama vile mazoezi ya mwili au dawa za mitishamba au dawa zijulikanazo kwa jina maarufu la ‘dawa za kichina’

Kimsingi unenepeshaji wa kisasa wa makalio, mapaja na matiti hufanyika kwa njia ya kuweka vipandikizi (silicone implants), kupaka cream, kuchoma sindano za mafuta ya mwili kutoka katika nyama za tumbo (fat transfer injection) au kuvaa vitu vinavyotengeneza umbo linalotamaniwa na wanaume. Mambo haya hufanyika katika kliniki maalumu na yanaweza kugharimu pesa nyingi.

Matumizi ya dawa za kunenepesha makalio, mapaja na kutunisha matiti si salama kwa afya kwani zinaweza kusababisha hali ya kushindwa kupumua kutokana na mzio (allergy), kansa, kuoza kwa misuli ya makalio na miguu (gangrene), uvimbe wa misuli (lumps/granuloma), kunenepa kwa makalio au matiti bila mpangilio au ulinganifu, kupooza au kifo wakati mwingine.

Dawa hizi zinaweza kusababisha kifo pale zinapoingia katika mfumo wa damu na kaharibu ini, ubongo, moyo na mapafu. Dawa zingine kutokana na kuongezewa viambato vya steroidi, mapema au baadaye sana zinaweza kusababisha magonjwa ya vidonda vya tumbo, udhaifu wa mifupa (osteoporosis), figo kushindwa kufanya kazi na shinikizo la damu.

Hata dawa za asili zitokanazo na mitishamba kama vile Mvunge au Miegeya (Kigelia Africana) ambazo hutumika sana kwa ajili ya kazi hii, bado uwezo wake na athari zake havijafanyiwa utafiti wa kutosha kisayansi ili kubaini usalama wake hasa kuhusiana na hatari ya kansa ya ngozi.

Kuna mifano mingi ya wanawake waliodhurika au kupoteza maisha kutokana na dawa hizi za urembo usiokuwa wa lazima. Mwaka 2004, mwanadada Apryl Michelle Brown mwanamitindo ya urembo wa nywele (Hair stylist) kutoka Los Angeles, Marekani alipoteza makalio, mikono na miguu yote baada ya misuli yake kuoza kutokana na kupata madhara ya sindano za kunenepesha makalio. Mrembo wa zamani wa Argentina(1994), Miss Solange Maginano akiwa na umri wa 38, alifariki dunia mnamo mwaka 2009 katika Kliniki moja huko Buenos Aires, Argentina akiwa anapewa dawa za kuongeza ukubwa wa makalio yake.

Mwaka 2011, kulikuwa na taarifa katika vyombo mbalimbali vya habari kuwa Claudia Adelotimi, mwanadada mwenye asili ya Nigeria aliyekuwa na umri wa miaka 20 akifikiri kuwa kunenepesha makalio kungemfanye awe nyota katika ushiriki wake kwenye picha za video za muziki wa kizazi kipya wa kufokafoka, alipoteza maisha kwa kuchoma sindano hizi huko Philadephia, Marekani baada ya kusafiri toka London, Uingereza na kulipia kiasi cha fedha kinachokadiliwa kuwa £ 1,300.

Visa vya namna hii ni vingi sana miongoni mwa wasichana na wanawake wanaopenda urembo bila kujali afya kwanza. Wasichana wengi wanapotumia dawa hizi, huwa wanafikiri kuwa wanaboresha muonekano na maisha yao lakini wanapopata madhara ya kiafya, hupoteza vyote yaani ubora wa maisha na uzuri wao wa asili na kubakia na majuto ya kudumu.

Kwa wasichana ambao wanaona kuwa maisha hayawezi kuwa matamu bila kunenepesha makalio, mapaja na matiti yao, ni busara kufanya hivyo kwa njia za asili zisizokuwa na madhara kwa afya zao. Sehemu hizi za mwili zinaweza kunenepeshwa kwa kutumia sayansi ya lishe bora, kunywa maji mengi na mazoezi ya mwili.

Kula vyakula vyenye protini ya kutosha na vyakula vyenye asili ya mimea yaani mbogamboga, matunda, nafaka zisizokobolewa na mafuta yenye asili ya mimea pamoja na kupunguza sukari na chumvi kwenye chakula, husaidia sana katika uimarishaji na unenepeshaji wa misuli ya makalio, matiti na mapaja. Kuepuka ulaji wa nyama yenye mafuta mengi au mazao ya maziwa kama vile siagi na samli pia husaidia.

Mazoezi ya kila siku (asubuhi na jioni) ya kupunguza mafuta katika nyama za tumbo, kufanya kiuno kuwa chembamba na kuimarisha misuli ya mapaja pamoja na makalio ni njia bora ya kumpatia msichana umbo la kupendeza na kunenepesha au kutunisha makalio bila madhara ya kiafya.

Baadhi ya watafiti na wataalamu wa mambo ya urembo wanadai kuwa, kiuno cha msichana au mwanamke chenye uwiano wa 70% ya mzunguko wa mapaja yake (hips circumference) au kipimo cha 0.7 WHR (waist to hip ratio) kinaonyesha afya nzuri ya msichana au mwanamke na kinafanya makalio na mapaja ya msichana au mwanake kuonekana kuwa makubwa.

Mazoezi yanayosaidia katika jitihada za kufikia lengo hili kwa kutumia njia za asili na kwa usalama huku yakiimarisha afya ni pamoja na kuruka juu, kupanda ngazi za nyumba (stair climbing), kuinama, kuchuchumaa pamoja na kuminya au kuchua misuli ya makalio (massage) kila siku.
http://www.aproko9ja.com/wp-content/uploads/2016/09/hip-woman-269x300.jpg

Ili zoezi la kuchuchumaa lilete matokeo yanayokusudiwa fuata kanuni zifuatazo: Kwanza tambua kuwa lengo lako ni kubadilisha muonekano wa umbo lako kwa njia salama, hivyo basi ni lazima ujitume kufikia lengo hilo. Anza mazoezi ya kusimama wakati miguu yako ikiwa imeachana kiasi cha upana wa kifua chako kisha taratibu kunja miguu yako kwenye magoti ili kuchuchumaa hadi mapaja yawe sambamba na sakafu au ardhi kwa dakika kadhaa kisha panda juu taratibu ili usimame kama mwanzo. Fanya zoezi hili angalau mara ishirini kabla hujapumzika au kubadilisha mtindo wa zoezi.

Fanya mtindo mwingine wa zoezi la kuchuchumaa wakati miguu ikiwa imepishana, weka mguu mmoja mbele kiasi cha umbali wa hatua moja na mguu mwingine uwe nyuma kisha chuchumaa kwa kukunja magoti yote, mguu wa mbele ujikunje na kutengeneza kona yenye 90° digrii na mguu wa nyuma uwe chini kiasi cha nchi 2 hivi juu ya sakafu. Kisha simama na kubadilisha mguu uliokuwa nyuma uwe mbele na kurudiarudia zoezi mara kwa mara.

Zoezi jingine ni lile la kuweka magoti yote na viganja vya mikono yote sakafuni kama mtu anayetaka kusujudu, kisha inua mguu mmoja kwa nyuma wakati goti moja na mikono ikiwa sakafuni. Badilishabadilisha mguu wa kuinua na fanya hivyo kwa dakika 20 kila siku asubuhi na jioni. Lakini pia unaweza kusimama wima na kunyoosha mikono yako yote mbele usawa wa kifua chako kisha ishushe taratibu hadi uguse vidole vya miguu yako kwa mikono yote miwili. Baada ya hapo inuka taratibu hadi usimame wima kama mwanzo na urudierudie zoezi hili kwa dakika 20.

SOMA: Mwanamke ni lazima kusoma hii!

Zoezi jingine linaloweza kusaidia ni lile la kuchua au kiminyaminya misuli ya makalio (massage) kwa dakika 30, asubuhi na jioni kila siku. Zoezi hili huimarisha misuli na kuongeza kiasi cha mzunguko wa damu katika nyama za makalio. Zoezi la kuchua misuli pia linaweza kusaidia katika utunishaji wa matiti kwa wale wanaohitaji matiti makubwa yaliyojaa.

Fanya massage ya matiti kwa kutumia vikanja vyako kila siku asubuhi na jioni na kuchezea chezea chuchu kwa dakika 30, hii itaongeza mzunguko wa damu katika matiti na kupunguza damu ya hedhi lakini pia itasababisha ongezeko la kichocheo cha prolactin na kuimarisha misuli ya matiti. Ili mazoezi haya yalete matokeo yaliyokusudiwa ni lazima yawe endelevu na yaende sambamba na kanuni zingine za afya na urembo kama vile lishe bora, kunywa maji ya kutosha na kuwa na mtazamo chanya katika maisha.
Pata mchumba, mpenzi! Click Hapa

Karibu sana msomaji wangu kila siku upate mbinu mbali mbali za kukuondolea aibu katika mahusiano yako. Ukijenga utamaduni wa kutembelea mtandao huu kila siku muda si mrefu unakuwa tajiri wa mahaba pamoja na kuwa na mahusiano thabiti sana. Kazi kwako!

Michongo 4 Rahisi -Jinsi Ya Kumuapproach Mwanamke

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEij3tzYqp6W7W6OWJa_HuqYWaoiqwg0wQsSgHuwP5IJCozLI49WVq-QshdFZaZ7aIC6W43bH8nAXpgzq3lampPRy377lUdjIpCS7GqrqK4hdALTTShYZsgXYT2X5cJeR6m5msm3u_iFOmo/s1600/man-begging-woman.jpg
Kujifundisha jinsi ya kumuapproach mwanamke kwa mara ya kwanza si jambo gumu la kufanya kama utafuata kanuni na masharti na kuyahifadhi baadhi ya michongo kwa moyo. Michongo ni maneno ya kwanza ambayo mtu hutumia kuanzisha maongezi na mwanamke.

Maneno haya ndio mara nyingi hutumiwa na wanaume mara yao ya kwanza wanapomshobokea mwanamke. Ukiitumia vizuri michongo itakupa wewe nafasi ya kumvutia mwanamke kwa uharaka zaidi.

Ingawa wanaume wengi hutegemea zaidi bahati ama kukosa, hauwezi kamwe kufaulu kumridhisha mwanamke iwapo hujui kuipanga michongo yako vizuri pindi unapokutana na mwanamke unayemzimia kwa mara ya kwanza.

Ok. Kukusaidia kujipanga vyema,  tumeweza kuiorodhesha baadhi ya michongo iliyowazi na iliyofunge na jinsi ya kuitumia.

Aina ya michongo -wazi na funge
Unaweza kumuapproach mwanamke bila wasiwasi kwa kutumia michongo aina mbili -wazi na funge. Michongo ile mizuri zaidi inakuwezesha wewe kuonekana kujiamiani, mcheshi na kuonekana mtu anayevutia zaidi kuwaliko wengine walioko karibu nawe.

Ijapokuwa michongo iliyowazi inahitaji mtu mwenye kujiamini kwa kiasi cha juu, michongo funge inaweza kutumika na yeyote yule bora tu ufuate masharti ya kuitumia.

Michongo iliyofunge
Aina hii ya michongo ni rahisi kuitumia kwa mwanamke na si rahisi kwake kuelewa kama unatumia maneno kama hayo ukiwa na ajenda fulani. Michongo hii ni kuanzia matukio, kumsifu ama kuangazia mazingira. Kila aina ya michongo hii ina manufaa yake na pia upungufu wake kiasi fulani kulingana na mazingira ambapo yanatumika. [soma: Hatua za kufanya kama mwanamke anakataa kujibu texts zako]


1. Matukio
Aina hii ya michongo ni rahisi kuikumbuka na ukiitumia kwa mwanamke atakupa atenshen yake automatic. Michongo hii hutumika ili kutaka atenshen ya mwanamke kwa kujaribu kumuuliza maswali ambayo yanalingana na mazingira aliyeko.
Baadhi ya aina ya michongo iliyofunge ni kama:
"Unaweza kujua wakati gani gari lingine la abiria linaweza kufika hapa?"

"Je unajua sehemu nzuri ambayo mtu anaweza kujiinjoy katika huu mji?"

"Nlikuwa nataka kuvuta sigara lakini kibiriti changu sikioni, naweza kuomba chako?"

"Nilikuwa sijamaliza kuandika maswali ya mwalimu kwa ubao, unaweza kunisaidia kitabu chako?"
2. Kumsifu
Aina hii ya michongo inakaribiana na ile ya wazi lakini kwa mpango flani inazuia kumfanya mwanamke kuelewa ajenda yako kwa uharaka. Michongo hii inafaa zaidi wakati ambapo inatumika katika vilabu, sehemu za kujivinjari ama sehemu yeyote ile ambayo unaona inaweza kutumika.
Kabla hujamsifu, ni lazima uhakikishe ni kwanini unamsifu manake mara nyingi unapomsifu mwanamke kuhusu jambo fulani atataka kujua kwa nini unammiminia sifa kama hizo.
Baadhi ya michongo ya kumsifu ni kama vile;

"Dress uliyoivaa imekupendeza, yaani imekufanya kuonekana mfano wa malaika"

"Una pozi lengine ajab, lazima wewe ni dansa flani"

"Nimependezwa na mtindo wako wa nguo na umbo lako, umetoklezea"

Ujanja wa kutumia aina hii ya michongo ni kuhakikisha unacheza na tabia na umbo lake, hakikisha kuwa unajaribu kumchunguza ili kupata mambo ambayo anayapenda kumhusu yeye. Usisahau ya kuwa utafiti umebainisha kuwa wanawake hupenda sana kusikia wakisifiwa.

3.  Kuangazia mazingira
Kulingana na mazingira, unahitaji kuifahamu sanaa ya kuingia katika akili ya mwanamke na kufahamu kile ambacho anafikiria. Ukifahamu kile ambacho anafikiria, itakuwa ni jambo jema zaidi.
Kwa mfano,  kama mwanamke anajaribu kusoma lakini kila dakika anasumbuliwa na jambo fulani, unaweza kumuuliza: "Si inaonekana ni vigumu zaidi kusoma wakati ambapo jua ni kali zaidi huko nje?"

Kama umekutana na kundi la wanawake na ungetaka kuanza kuongea nao, unaweza kuwaapproach halafu useme "Nyinyi wanawake mnaonekana mnaenjoy sana na wenye nishati, kwani kitu gani kinachoendelea ambacho nakikosa?"

Pia kama kuna mwanamke unayemzimia na hujawahi kuongea na yeye unaweza kumwambia "happy birthday"


SOMA: Mitandao 10 Maarufu Ya Kijamii Ya Kutafuta Wachumba 

Michongo iliyowazi
Kama wewe una confidence na unajiamini kuwa unaweza, basi njia yako ya kutumia ni michongo iliyowazi. Kumbuka kuwa kama wakati wowote utaonyesha unyonge katika sauti yako juwa ya kwamba michongo yako itaanguka hapo hapo na utajiaibisha mwenyewe. [soma: Jinsi ya kumfanya mwanamke akutamani]

Kutumia michongo iliyowazi itakuwezesha wewe kukupatia matokeo ya haraka kwa sababu ni kuwa wanawake hupenda wanaume ambao wanajiamini kwa mambo wanayoongea na kufanya. Kama mwanamke ataonyesha dalili zozote za kutaka kuongea nawe kwa njia ya miondoko ya mwili, basi unafaa kutumia michongo iliyowazi.

Baadhi ya michongo iliyowazi ni kama vile:
"Unaoneka mrembo, unaweza kuniruhusu nitake kukujua zaidi?"

"Nilikuwa nimekuona kutoka upande ule mwingine wa nyumba na nikaamua kuja kukusalimia, bila hivyo ningeishi kujutia kukosa kumjua mwanamke mrembo zaidi maishani mwangu"

Mwisho ni kuwa hakikisha kuwa baada ya kutumia hii michongo kupata atenshen ya mwanamke, hakikisha unaendeleza maongezi yenu. Jaribu kupata kulijua jina lake halafu ujibidiishe kulitumia kila wakati, lazima atapenda.

Usisahau kutumia sanaa za kutongoza kwa kujua vitu ambavyo mnagawa interest pamoja, jinsi ya kumfurahisha na kadhalika. Hii utamfanya apendezwe na wewe na mudan usiomrefunatakuzoea.

Pata mchumba, mpenzi! Click Hapa

Karibu sana msomaji wangu kila siku upate mbinu mbali mbali za kukuondolea aibu katika mahusiano yako. Ukijenga utamaduni wa kutembelea mtandao huu kila siku muda si mrefu unakuwa tajiri wa mahaba pamoja na kuwa na mahusiano thabiti sana. Kazi kwako!

Thursday, December 1, 2016

Mitandao 10 Maarufu Ya Kijamii Ya Kutafuta Wachumba

Image result for datingTunatumia mtandao kila siku. Wengi wetu huchukua muda wao mwingi sana kuingia online na kuchat na marafiki, kupata habari, kudownload, kusoma udaku, kuangalia video nk.

Well, wengine huingia online kutafuta mitandao ambayo ni spesheli ya kutangamana na kutafuta wachumba. Uzuri wa kutafuta wachumba kupitia mitandao ya kijamii ni kuwa una nafasi kubwa zaidi kuchagua mchumba ambaye anatabia ambayo unazipenda.


Leo kwa haraka nimeamua kuorodhesha mitandao bora zaidi ambayo ina umaarufu zaidi barani Afrika.

Mitandao ya kutafuta wachumba

1. Zoosk
Huu ni mtandao ambao wenyewe wanaupigia upato kuwa mtandao wa kutafuta wachumba unaoongoza kwa umaarufu bara la Afrika. Mtandao huu unaruhusu watumiaji kuweza kujamiiana na wenza katika mitaa unayoishi. Uzuri wa mtandao huu ni kuwa unatumia mashine inayoitwa Behavioral Matchmaking™ wenye uwezo wa kutambua mchumba atakaye kufaa zaidi kwa kutumia profile yako. Mtandao huu una watumiji zaidi ya milioni 25 duniani. 
2. Tinder
Huu mi mtandao spesheli wa kutumia kitumizi. Mtandao huu ni rahisi kuutumia. Kile kinachohitajika hapa ni kusukuma upande wa kulia kupenda picha ya mtu ama kusukuma upande wa kushoto kutakaa picha ya mtu. Iwapo wewe na mwengine mumependezwa na picha zenu mtaorodheshwa kama wachumba wa kifani.

3. Lovoo
Huu ni mtandao ambao unauwezo wa kutafuta wachumba wanaoishi karibu na wewe. Watumiaji wa mtandao huu ni milioni 12, Mtandao huu hutumia teknolojia ya rada kuwatafuta wachumba walio karibu nawe. 


4. Eskimi
Huu ni mtandao maarufu ambao una uwezo wa kuunganisha marafiki zako wa facebook ambao wako eskimi. Mtandao huu unakupa nafasi ya kuwaangalia na kutafuta wachumba kulingana na nchi, mikoa na miji tofauti tofauti.

5. SpeedDate
Huu ni mtandao unaokua kwa kasi zaidi. Ukiwa na watumiaji zaidi ya milioni 13, mtandao huu una uwezo wa kuwezesha kufanyika kwa deti kwa wakati uliopo na pia kuchat papo kwa hapo. 
6. BeNaughty
Huu ni mtandao unaokuwezesha kutongoza, kujamiiana na kutangamana na wengine ambao wako single. Mtandao huu una uwezo wa kuwaorodhesha wanawake 100 wazuri zaidi hivyo kukupatia nafasi ya wewe kuchagua bila tatizo.

7. Tagged
Huu ni mtandao wenye watumiaji zaidi ya milioni 300. Mtandao huu unakupa nafasi ya kukutana na kipenzi chako kupitia kwa michezo ambayo inapatikana ndani yake.
Mtandao huu ni maarufu zaidi nchini Liberia. Mtandao huu unakupa nafasi ya papo kwa hapo kuweza kuchat na watumiaji ambao wako single.

9. AYI – Are You Interested?
Huu ni mtandao wa watu wakubwa. Mtandao huu umeunganishwa na facebook ambapo unaweza kuangalia picha, kuapload picha, kulike na kujua nani yuko interested.

10. SayHi!
Huu mtandao unadai kuwa na uwezo wa kuwaunganisha wachumba wapweke kupata mapenzi, kuweza kutongoza, kuchat na pia kupata marafiki wapya. Jambo la kipekee kwa mtandao huu ni kuwa mtumiaji anaweza kutafuta mchumba kwa kuangalia ramani na pia kutafuta deti kwa sehemu za karibu unazoishi. 

Pata mchumba, mpenzi! Click Hapa

Karibu sana msomaji wangu kila siku upate mbinu mbali mbali za kukuondolea aibu katika mahusiano yako. Ukijenga utamaduni wa kutembelea mtandao huu kila siku muda si mrefu unakuwa tajiri wa mahaba pamoja na kuwa na mahusiano thabiti sana. Kazi kwako!