KONA YA UTAMU: 2016
Breaking News
Loading...

Saturday, December 10, 2016

Sifa 10 za Mtu Mwenye Penzi la Kweli Kwako....

Vijana wengi ambao wanapendana leo mapenzi yao hayadumu kiasi cha kubatizwa jina la utamu wa bazoka. Lakini yote hii inatokana na ukweli kwamba elimu ya mapenzi ambayo ni muhimu kwa binadamu haitolewi ipasavyo. Ipo zana potofu kwamba kumfundisha mtoto mapenzi ni kumharibu, jambo ambalo si kweli bali inategemea mtoto huyo anafundishwa nini na kwa wakati gani. Lakini cha kushangaza...

Tuesday, December 6, 2016

NAMPENDA Mume Wangu Lakini Haniridhishi Tukiwa Faragha

Nampenda sana mume wangu lakini nimeboreka nae! in the bedroom ndio hata usiseme! yaani hata nikikaa mwezi hatujakutana siku ikitokea mechi najua kabisa anaanzia wapi atafanya nini, hayuko creative kabisa. Najaribu kufanya changes try new positions ila yeye wala. Inaniboa! yaani I can only dream mechi za stori za sinema za x hahaha! ana mashine nzuri lakini utaalam ziro. mpaka nimenunua...

Sunday, December 4, 2016

Jinsi Ya Kuzungumza Na Mwanamke Ili Umvutie

Kama unatabia ya kushindwa ama kupata tatizo la kuongea na wanawake ambao wanakuvutia, basi ni wakati murua wa kwako kutafuta mbinu ambayo itakufanya wewe kuwa na ari na kutokuwa na wasiwasi wowote wakati ambapo unaongea nao. Wakati mwingine, wanaume hujiskia ndivyo sivyo wakati wanapoongea na wanawake na mara nyingi wanapalia kutoongea na wao kabisa kwa sababu ya kujiskia ndivyo sivyo. Hii...

Saturday, December 3, 2016

Utamgunduaje mwanamke aliekwisha zaa mtoto wakati wa mechi??

Natumaini hali ni njema kabisa asubuhi hii wapendwa. Natamani kupata utundu namna ya kumtambua mwanamke aliekwisha zaa mtoto/watoto kwa kutumia kiungo chake cha uzazi yani papuchi. Inaniwia ngumu sana kuwatambua hawa unaweza kumkuta dada mdogo tuu ana mwili simple kumbe keshazaa watoto kadhaa. Kikawaida mwanamke aliezaa tumbo lake hulegea na kuwa kubwa ila wadada wa sasa sijui wanafanyaje yani...

Kwa Nini Wanawake Wanapenda Wanaume Masharobaro aka Bad Boys

Wanawake kuchagua wanaume masharobaro aka badboys kuwaliko wanaume wa kawaida si jambo geni na hutokea mara kwa mara. -aidha katika vyuo, vilabuni, sinema, maktabani ama sehemu yeyote ile. Wanaume masharobaro, kama wanaume wengine, wao pia wanamaumbo ya kila aina, shepu na mvutio wa kijinsia. Kama wewe ni mwanamume wa kawaida ambaye humaliza wa mwisho ama ushawahi kupoteza mpenzi wako kwa...

FAIDA YA KUNYONYWA UUME WAKATI WA TENDO LA NDOA

Utafiti uliofanywa na jopo la madakitari kutoka Hospitali ya Chuo  kikuu cha Hopkins (JHU) wakiongozwa na Dr. Carl Walker toka  Chuo Kikuu cha madakitari cha Yenepoya Medical College, Canada 🇨🇦, kimeeleza kuwa wanaume wanaonyonywa nyeti zao (uume) wana nafasi nzuri ya kupata watoto wenye afya njema na uwezo mkubwa wa kinga dhidi ya magonjwa (immune response capability).   Utafiti...

Aina kumi za waume ambao wake zao wanakereka kuwa nao

Aina Kumi Za Waume Ambao Wake Zao Wanakereka Kuwa Nao* Kila ndoa inachangamoto zake na maana halisi ya ndoa ni ule uwezo wa wanandoa *kuvumiliana* katika changamoto hizo. Kuna changamoto za kimungu ambazo wanandoa hawawezi kuziepuka lakini kuna zile za kiuanadamu ambazo nyingi ni za kimakusudi na mtu huamua tu kuwa hivyo. Katika kuangalia ndoa leo nimeona *nichambue aina kumi za...

USHAURI-MKE WANGU ALIWEKWA KINYUMBA NA MJOMBA WAKE

Changamoto katika maisha ya ndoa. Ni miaka minne sasa imepita katika ndoa na huu tunaufukuzia wa tano. Ninao watoto watatu wakiwa wawili wa kike na mmoja wa kiume. Tabia ya Mke wangu ya ukali kupita kiasi kwa wtoto ilinifanya niwe na maswali mengi sana. Hasira hii haiishii kwa hawa vijana pekee ikawa inaenda hadi kwa ndugu zake hasa mjomba wake ambaye ndiye amemlea baada ya mama yake mkubwa kumkabidhi huko akiwa mdogo.Nilivyoona hali hii ikanibidi nmuulize taratiiibu kabisa hasahasa juu ya chuki kwa mjomba maana huwenda hawa watoto anawafunza akawa anasita kusema. Siku nyingine alipokuwa Tayari akaamua kuniambia kuwa...

Friday, December 2, 2016

Kufanya mapenzi ndotoni

Wana body habari za SAA hiz? Naomba kutoa elimu kwenu kwa muda huu, juu ya watu wenye hali ya kujikuta wanafanya mapenzi na wasio wajua au wanao wajua ndotoni... Awali ya yote naanza na kukuelimisha wewe ni nani...kimsingi we we( mtu) roho yenye nafsi hai iliyopo ndani ya mwili.... Unapokuwa umelala usiku roho ya mtu huwa hailali. Hivyo unapoanza kuota ndoto ya kufanya mapenzi na mtu kimsingi...

Jinsi Mwanamke Anavyoweza Kuongeza Hips na Makalio bila kutumia madawa

Baadhi ya wasichana huwa hawaridhiki na maumbile yao ya asili, wengine hupenda kuwa wembamba hasa pale mtindo wa maisha au maumbile yao ya asili yanapowalazimisha kunenepa. Na wengine hupenda kunenepa au kunenepesha baadhi ya sehemu za miili yao kama vile makalio, mapaja (hips) au matiti. Wengine hupenda kuona matiti yao yakiendelea kusimama miaka yote ya maisha yao na kuwa kama ya wasichana...

Michongo 4 Rahisi -Jinsi Ya Kumuapproach Mwanamke

Kujifundisha jinsi ya kumuapproach mwanamke kwa mara ya kwanza si jambo gumu la kufanya kama utafuata kanuni na masharti na kuyahifadhi baadhi ya michongo kwa moyo. Michongo ni maneno ya kwanza ambayo mtu hutumia kuanzisha maongezi na mwanamke.Maneno haya ndio mara nyingi hutumiwa na wanaume mara yao ya kwanza wanapomshobokea mwanamke. Ukiitumia vizuri michongo itakupa wewe nafasi ya kumvutia...

Thursday, December 1, 2016

Mitandao 10 Maarufu Ya Kijamii Ya Kutafuta Wachumba

Tunatumia mtandao kila siku. Wengi wetu huchukua muda wao mwingi sana kuingia online na kuchat na marafiki, kupata habari, kudownload, kusoma udaku, kuangalia video nk. Well, wengine huingia online kutafuta mitandao ambayo ni spesheli ya kutangamana na kutafuta wachumba. Uzuri wa kutafuta wachumba kupitia mitandao ya kijamii ni kuwa una nafasi kubwa zaidi kuchagua mchumba ambaye anatabia...