Msaada: Nimeona wazazi wangu wakifanya mapenzi, je ni mkosi au laana? | KONA YA UTAMU
Breaking News
Loading...

Wednesday, February 15, 2017

Msaada: Nimeona wazazi wangu wakifanya mapenzi, je ni mkosi au laana?

Ndugu wana utamu kama mwezi uliopita nimenda kijijini kumsalimia baba na mama kwa bahati mbaya usiku mmoja hiv nilikuwa natoka nje kukojoa nilikuta mzee na bi mkubwa wakifanya yao sebuleni nikarud kimya kimya chumban kwangu wenyewe hawakuniona

Sasa mpk Leo Ile taswira inanisumbua sana nahis ni laana na mkosi sababu mambo yangu si mazur toka siku hiyo nimekuwa sijaelew kama chizi naomba msaada nifanyaje

SOMA: FAIDA YA KUNYONYWA UUME WAKATI WA TENDO LA NDOA

Pata mchumba, mpenzi! Click Hapa

Karibu sana msomaji wangu kila siku upate mbinu mbali mbali za kukuondolea aibu katika mahusiano yako. Ukijenga utamaduni wa kutembelea mtandao huu kila siku muda si mrefu unakuwa tajiri wa mahaba pamoja na kuwa na mahusiano thabiti sana. Kazi kwako!
Download Video and Put Comment
Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin

0 comments:

POST A COMMENT