
Wanaume wengi sana hua tunadanganywa na wenza wetu kua tumewaridhisha vya kutosha lakini ukweli hua hakuna kitu
Hua wanafanya kwa nia njema tu kwani wanaume hua tunajiskia amani sana
kuambiwa umemfikisha mtoto wa kike kwani ni jambo la kishujaa kama
trumph uchaguzi us kwa uzoefu wangu,mwanamke aliefika kileleni hua anakua hivi bila hata kuuliza au kusubili kuambiwa 1.MWILI KUISHIWA NGUVU...